• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI 2023

Imewekwa: February 28th, 2023

Madiwani wa Halmashauri ya Serengeti Katika Kikao cha uwasilishaji wa Taarifa za utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kila Kaa katika kipindi cha Robo ya pili.

MWENYEKITI wa halmashauri ya Serengeti Ayub Makuruma amempongeza diwani wa kata ya Kenyamonta Henry Nyamete kwa usimamizi mzuri wa makusanyo ya Mapato ya fedh kiasi cha zaidi ya milioni 24 kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka2023



Ametoa pongezi hizo kwenye kikao cha baraza la madiwani cha uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kila kata cha robo ya pili mwaka huu.

Makuruma aliwataka madiwani wa kata nyingine kuiga mfano wa diwani wa kata hiyo ili kuweza kukusanya mapato katika kata zao kwa ya kuboresha miradi ya maendeleo.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kata ya Kenyamonta diwani Nyamete alitaja mafanikio mengine waliyopata kuwa ni pamoja na ukamilishaji wa ujenzi wa Monchwari kwa asilimia 99 katika kituo cha afya cha Iramba, ujenzi wa madarasa 4 shule ya sekondari ya Ngoreme na ofisi ya walimu.

Amesema changamoto zilizopo ni upungufu Wa watumishi katika sekta ya elimu na afya na gari la wagonjwa katika kituo hicho cha Iramba.

Nyingine ni pamoja na migogoro ya mipaka katika kijiji cha Hekwe,Mesaga na Majimoto,ukosefu wa huduma ya maji na umeme kijiji cha Hekwe na Magatini na mbolea ya ruzuku ikiwa ni pamoja na kutokuwa na Afisa kilimo .

Ameongeza kuwa tayari wamekwisha muandikia barua Mkurugenzi wa halmashauri hiyo juu ya kutatua changamoto hizo.

Akizungumzia changamoto ya maji katika kijiji cha Hekwe alisema RUWASA wamewaahidi kwamba utekelezaji wa mradi wa maji wa kijiji hicho upo katika bajeti ya fedha ya mwaka huu.

Diwani wa kata hiyo ya Kenyamonta ameiomba serikali kufanya mgawanyo wa kata hiyo ziweze kuwa mbili ili pawe na urahisi wa kuwafikia na kutoa huduma kwa wananchi na kwamba kata hiyo ni kubwa na ina vijiji vitano na jiografia yake imekaa vibaya.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA YA UELIMISHAJI RIKA JUU YA VVU NA UKIMWI November 11, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WAIOMBA TANAPA KUGUSA KATA ZOTE SERENGETI KIUWEKEZAJI

    March 02, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI 2023

    February 28, 2023
  • ZAIDI YA BILIONI 14.268 KUTUMIKA KUTENGENEZA BARABARA SERENGETI

    March 02, 2023
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI, NA MIPANGO IMETEMBELEA NA KUKAGUA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA SHULE YA SEKONDARI NYICHOKA

    February 18, 2023
  • Angalia zote

Video

DKT.MASHINJI ASITISH A SHUGHULIZA UCHIMBAJI KOKOTO KUFUATIA KIFO CHA MCHIMBAJI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti