• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Community Development

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni idara kiungo muhimu kati ya jamii, Serikari na wadau mbalimbali wa maendeleo. Idara hii ina vitengo vifuatavyo:-

  • Kitengo cha vijana
  • Kitengo ya kudhibiti UKIMWI
  • Uratibu wa TASAF
  • Uratibu wa shughuli za NGOs.

Kama Idara mtambuka idara hushirikiana na idara nyingine katika Halmashauri ya Wilaya  pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali na Asasi za kiraia zilizopo katika maeneo ya Wilaya hii.

MAJUKUU YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA, WAZEE NA WATOTO

Shughuli zinazotekelezwa  na idara hii ni pamoja na :-

  • Kuhamasisha jamii kubuni, kupanga, kutekeleza, kusimamia na kutathimini mipango na miradi yao ya maendeleo.
  • Kuelimisha jamii kuondokana na mila zenye zilizopitwa na wakati na kuwa na mtazamo wa kupenda mabadiliko chanya.
  • Kuhamasisha jamii juu ya matumizi ya teknolojia rahisi na sahihi kwa kutumia rasilimali  zilizopo na zinazopatikana kwa urahisi.
  • Kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutoa taarifa na matukio mbalimbali kama vifo, milipuko ya magonjwa, masoko, uzalishaji mali, vyakula, ajira na unyanyasaji wa kijinsia.
  • Kuratibu shughuli zote za maendeleo zinazosimamiwa na Asasi zisizo za Kiserikali (NGOs) katika Wilaya.
  • Kufanya utafiti na kutoa mapendekezo ya namna ya kukabiliana na matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo katika jamii kwa kushirikiana na watumishi wa sekta zingine.
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za maendeleo ya wanawake, vijana, watoto na wazee.
  • Kuhimiza, kujenga na kuimarisha ari ya kufanya shughuli za maendeleo kwa kujitolea katika maeneo yao.
  • Kueneza elimu ya uraia mwema kwa jamii
  • Kutoa elimu kwa jamii ili kuepukana na maambukizi  ya VVU/UKIMWI.
  • Kusimamia, kusambaza, kuelimisha jamii juu ya sera mbalimbali za maendeleo ya jamii kuanzia ngazi ya jamii.
  • HUDUMA ZA KIJAMII

Idara ya maendeleo ya Jamii inatoa huduma mbalimbali za kijamii kwa ajili ya kuhakikisha jamii inapata maendeleo inayoyahitaji:-

  • Kusajili vikundi vya vijana, wanawake na makundi ya mchanganyiko (wanawake na wanaume)
  • Kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wadogo wadogo ili kuinua mitaji yao
  • Kutoa misaada kwa makundi maalumu (walemavu, watoto yatima, wajane, watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi)
  • Kusaidia wafungwa wa muda mfupi  kutoka gerezani na kupangiwa kazi za nje
  • Kutoa elimu ya kujitambua na afya ya uzazi kwa wanafunzi wa shule za sekondari
  • Kutoa msaada wa mitaji midogo midogo kwa makundi ya kijasiriamali ya watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI
  • MATARAJIO YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII
  • Idara inatarajia kuendelea kuwawezesha makundi ya vijana na wanawake miradi midogomidogo ya ujasiriamali.
  • Idara inatarajia jamii kuongeza uwezo wa kuibua na kuzitumia fursa zilizopo ndani ya maeneo yao ili kuleta maendeleo endelevu.
  • Idara inatarajia jamii itapata uelewa wa kuepukana na mila zilizopitwa na wakati ili kujenga jamii yenye ushirikiano.
  • Idara inatarajia ukatili wa kijinsia uendelea kupungua aidha wanawake wamejengewa ujasiri wa kujiamini katika mbalimbali za kiuchumi, kisiasa na ushiriki katika maswala ya kijamii.
  • Idara inatarajia kuona jamii inajitambua na kuondokana na fikra tegemezi
  • Idara inatarajia jamii kuwa na uelewa wa sera na miongozo mbalimbali inayotelewa kwa ajili ya maendeleo yao.
  • Idara inatarajia jamii hasa vikundi vya wanawake na vijana vinavyopata mikopo kwa riba nafuu kuongeza kipato hivyo kupunguza au kuondoa dhana ya utegemezi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WADAU WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWA KUZINGATIA MIONGOZO YA KILIMO CHA ZAO LA TUMBAKU ILI KUPATA TIJA YA ZAO HILO.

    June 17, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA PARK NYIGOTI SERENGETI WANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUTOKA GRUMETI FUND.

    June 13, 2025
  • GRUMETI FUND YAENDELEA KUGUSA MAISHA YA VIJANA WA KIKE NA KIUME WILAYANI SERENGETI.

    June 04, 2025
  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti