• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Historia ya Wilaya ya Serengeti

Wilaya ya Serengeti ilianzishwa mwaka 1974 baada ya kugawanywa kutoka Wilaya ya Musoma huku Mugumu ikifanywa kuwa makao makuu ya Wilaya.

Mhe. A. Nyemela aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya wa kwanza na Bw. B. Salim aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Maendeleo wa Wilaya wa kwanza. Wilaya hii ilipoanzishwa ilikuwa na tarafa 4 za Rogoro, Serengeti, Nansimo na Kenkombyo pamoja na Majimbo mawili ya Uchaguzi ya Serengeti na Nyamuswa.

Mwaka 1978 ilianzishwa Wilaya ya Bunda, Kata ya Ngoreme ambayo ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Musoma ikawa tarafa ya Ngoreme katika Wilaya ya Serengeti huku Kata za Nansimo na Kenkombyo zikaunda Wilaya ya Bunda, hivyo Wilaya ya Serengeti ikabaki na tarafa 2 za Rongoro na Ngoreme. Kwa sasa Wilaya ya Serengeti ina Tarafa 4, Kata 30 na vijiji 78, Vitongoji 363 na Kaya 41,570.

Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Taifa ya Watu na Makazi, mwaka 1978 Wilaya ya Serengeti ilikuwa na watu 207,688 ikijumuisha wakazi wa Wilaya ya Bunda kabla haijaundwa. Sensa zilizofuata zilionyesha kuwa mwaka 1988 ilikuwa na watu 111,710, mwaka 2002 ilikuwa na watu 176,609, mwanaume 84,263 na wanawake 92,346.

Sensa ya mwaka 2012 Wilaya ilikuwa na Wakazi 249,420 kati yao wanaume ni 121,399 (48.68%) na wanawake ni 128,021 (51.33%)

Kwa kutumia makadirio ya sense ya watu na makazi ya mwaka 201, mwaka 2016 Wilaya ya Serengeti ilikadiriwa kuwa na watu 275,223 kati yao wanaume ni 133,958 na wanawake 141,265

Jiografia na Hali ya Hewa ya Wilaya

Wilaya ya Serengeti ina ukubwa wa km² 10,373 iko kati ya Nyuzi 10° 30’Kusini 20° 40’Kusini mwa Ekweta nyuzi 34° 15’ Mashariki 35° 15’ Mashariki mwa Greenwich Meridian. Kati ya eneo hilo kilometa za mraba 7,000 ni Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Serengeti National Park). Aidha kilometa za mraba 189.63 ni eneo la “Ikorongo Game Reserve”. Kilometa za  mraba 66.39 ni eneo la “Grumeti Game Reserve”, na kilometa za mraba 245.6 ni eneo la wazi (open area). Eneo lililobaki la kilometa za mraba 659 ni eneo la kilimo, ufugaji na makazi ya watu.

Wilaya hupata wastani wa mvua kati ya Milimita 600-1200. Mvua hunyesha mara mbili kwa mwaka kati ya miezi ya Agosti-Desemba na Februari hadi April. Ukanda wa juu hupata wastani wa mm 1200, ukanda wa kati wastani wa mm 1000-1200 na uwanda wa chini mm 600 -1000. Wastani wa joto nyuzi 26 °C wakati wa kiangazi.

  Mji wa Mugumu Serengeti

  Hifadhi ya Taifa ya Mbuga ya Serengeti

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti