• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano

Kitengo hiki ni kipya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, kutokana na maboresho ya muundo wa Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliyofanyika mwaka 2011.

Kitengo hiki kinaundwa na na kada ya TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) pamoja UHUSIANO.Kwa sasa kitengo kina watumishi wawili ambao ni

1.Afisa TEHAMA mmoja na

2.Afisa Habari & Uhusiano mmoja

Kitengo hiki kina majukumu makuu yafuatayo:


A. TEHAMA

  • Kuhakikisha mifumo ya TEHAMA iliyopo katika Halmashauri inafanya kazi kama inavyotakiwa.

  • Kutoa msaada wa kiufundi kwa watumishi wote wa Halmashauri katika eneo la TEHAMA

  • Kutoa mafunzo kwa watumishi wa Halmashauri katika masuala ya TEHAMA zikiwemo programu mbali mbali

  • Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa mifumo, miundombinu na vifaa vya TEHAMA

  • kuibua mahitaji ya mifumo ili iweze kusanifiwa na kisha kutengenezwa na kumtumika.

  • Kuchambua na kuainisha huduma zinazoweza kutolewa na mifumo ya kieletroniki katika Halmashauri.

  • Kuhakikisha miundombinu kiambo (Local Area Networl) katika Halmashauri inafanya kazi na mtandao wa intaneti unapatikana.

  • Kuandaa mpango, najeti, mpango kazi, mpango mkakati wa kutekeleza kazi za TEHAMA katika Halmashauri.

  • Kutengeneza utaratibu wa kutunza taarifa na data ili ziweze kutumika wakati wa majanga.

  • Kufanya na kusimamia matengenezo ya vifaa vyote vya TEHAMA.

  • Kutafiti na kuchambua matatizo ya vifaa vya TEHAMA na kutoa suluhisho.

  • Kushirikiana kwa karibu na wataalamu wa TEHAMA wa Mkoa na Wizara ili kubadilisha uzoefu na kujengeana uwezo.

  • Kutoa specification za vifaa kwa ajili ya manunuzi.

  • Kushiriki katika zabuni za vifaa vya TEHAMA na kuhakiki ubora wake kabla havijaanza kutumika

  • Kuhakikisha Halmashauri ina tovuti na inpatikana wakati wote.


B. HABARI na UHUSIANO

  • Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuuu juu ya uendeshaji wa Kazi za Habari na Uhusiano.

  • Kuandaa mpango, bajeti, mpango kazi, mpango mkakati wa kutekeleza kazi za uhusiano katika Halmashauri.

  • Kutangaza kazi na miradi inayofanyika katika Halmashauri.

  • Kutangaza maeneoe ya uwekezaji ya Halmashauri katika tovuti, radio, majarida na njia nyinginezo za mawasiliano.

  • Kuhakikisha tovuti ya Halmashauri ina taarifa mpa kila wakati pamoja na wasifu wa Wilaya (District Profile)

  • Kuandaa na kutoa habari za halmashauri katika machapisho.

  • Kushiriki katika mijadala ya jamiikuhusu masuala ua Halmashauri.

  • Kutumia TEHAMA katika kutoa elimu kwa jamii.

  • Kusimamia Press briefing za Halmashauri.

  • Kuishauri Halmashauri juu ya uandaaji, uzalishaji na usambazaji wa nyaraka kwa wadau mbali mbali.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti