• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC BABU AONYA WANANCHI KUTOUZA CHAKULA HOVYO

Imewekwa: February 26th, 2020

“Sikatazi mtu kuuza chake lakini naomba tuhakikishe tuna chakula cha ziada ndio tuuze kwa ajili ya kujipatia mahitaji mengie ya Shughuli zetu”

Hayo yamebaiisha leo tarehe 26/02/2020 na Mkuu wa Wilaya Serengeti Mh. Nurdini Babu wakati akiwasilisha salamu za Serikali katika mkutao wa robo ya pili wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Mh. Babu amewaomba Waheshimiwa madiwani kumsaidia katika vikao vyao kuhakikisha wanawajulisha wananchi walio kweye Kata zao kuhakikisha kuwa wanabaki na chakula cha ziada kabla ya kuuza na amesisitiza kuwa akatazi mtu asiuze mazao yake ya chakula.

Akiendelea kuwasilisha salamu mbalimbali za serikali Mh. Babu amesema kuwa katika maboresho ya Jeshi ya Polisi imeagizwa kuwa kila Kata kuwa na kituo kidogo cha polisi ili kuimarisha hali ya ulinzi na usalama katika maeneo yote nchini ikiwemo matukio ya utoro na mimba za wanafuzi na matukio mengine kama hayo ambayo yanaweza kukamilika katika gazi za chini.

Pia Mh. Babu amesema kuwa wiki ijayo ataanza ziara ya kutembelea shule zote za Sekondari Serikali ili kubaini hali halisi ya uripoti wa wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2020 na atasita kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kushiriki katika zoezi la kutowapeleka watoto shule.

“Sasa tumejenga Sekondari, watoto wamefaulu wazazi hawapeleki watoto shule na Waheshimiwa madiwani tupo kwenye hizo Kata tunajua watoto hawajakwenda shule. Tulisema Januari watoto wote waende shule lakini mpaka leo watoto wengine hawajakwenda shule” Alisema Mh. Babu

Aidha Mh. Babu amewataka watu na wadau wa maendeleo wanakaribishwa kuja kuwekeza katika Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti ikiwa ni sehemu ya maelezo kutoka katika Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) ambao alikuwa na kikao nao asubuhi ya leo kabla ya kuanza kwa mkutano wa baraza ya madiwani. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) ilipata fursa ya kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Serengeti ambapo TANAPA imechangia kiasi cha Milioni 80. Mchango huu ni mojawapo ya miradi mbalimbali inayotolewa na shirika katika kuwawezesha jamii zinazoishi jirani na hifadhi kutambua umuhimu wa hifadhi husika.

Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wakiwa na Mh. Babu na Viongozi wengine katika picha ya pamoja.

Na mwisho Mh. Babu amesisitiza upendo na ushirikiano kwa watumishi uzidi kuimarishwa zaidi ili kuleta maendeleo ya wilaya yetu kwa ujumla na amewasihii wote wenye tabia za kubezabeza waachane na tabia hizo mara moja.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti