• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

YANGA TAWI LA SERENGETI WAZIKUMBUKA HOSPITALI

Imewekwa: August 6th, 2022

YANGA TAWI LA SERENGETI WAZIKUMBUKA HOSPITALI

Kila ifikapo agosti 6 kila mwaka ni ya siku maalumu ya wananchi (YANGA) ambapo katika wilaya ya Serengeti,Tawi la Yanga limeadhimisha siku hii kwa kuzitembelea hospitali wilayani hapa.

Pamoja na kuadhimisha kilele cha siku ya Mwananchi,Tawi hili limesheherekea pia ubingwa ambao YANGA uliutwaa katika msimu wa 2021/2022.Maadhimisho haya  yaliongozwa na  Kauli mbiu zinazosema ‘’Ujanja ni kujisajili kuwa wanachama’’ pamoja na ‘’sensa kwa maendeleo ,jiandae kuhesabiwa;’’

Katika Picha ni Baadhi ya wanachama wa Yanga Tawi Serengeti wakifanya Usafi katika Maeneo ya Hospitali ya Kibeyo.


Wakiwa katika hospitali ya wilaya ya Serengeti ya  kibeyo, wanachama wa YANGA  Tawi la Serengeti wamefanya usafi wa mazingira pamoja na kutoa msaada wa Mashuka kwa ajili ya wagonjwa.

Aidha,Katika hospitali Teule  ya wilaya ya serengeti  Nyerere wanachama  wamefanya zoezi la uchangiaji damu,ambapo takribani wanachama 30 walichangia.


Kiongozi wa Yanga  Tawi la Serengeti akikabidhi Msaada wa Mashuka  kwa niaba ya wanachama kwa Muuguzi Hospitalini hapo


Akihitimisha siku hiyo ya Mwananchi Mgeni Rasmi wa Maadhimisho Hayo S.I Emmily Mwakyusa amewashukuru wanachama waliojitokeza katika maadhimisho hayo ya siku mwananchi, pamoja na kuwaomba  kuendeleza ushirikiano na umoja Baina yao,lakini pia amewakumbusha wanachama hao kujitokeza na kutoa ushirikiano katika sensa ya watu na Makazi itayofanyika Agosti 23,2022.

Katika picha:Baadhi ya wanachama wa Yanga Tawi la Serengeti wakiwa tayari kuchangia damu katika hospitali ya Nyerere DD


Nao Viongozi wa Yanga Tawi la Serengeti wamewakumbusha wanachama wao kukumbuka kujisajili ili kuwa wanachama halali, lakini pia kuendeleaa kujitoa katika shughuli mbalimbali za kijamii ili kuweza kuleta maendeleo katika Jamii .

Imetolewa na

Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini

Wilaya ya Serengeti

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti