• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAZAZI ROBANDA WAJITOA KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATA CHAKULA SHULENI

Imewekwa: October 24th, 2022


Shule ya Msingi Robanda  Kata ya ikoma wilayani Serengeti kwa kushirikiana  na uongozi wa  kijiji na Kata ni miongoni mwa shule zinazotekeleza utaratibu wa  kuwapatia wanafunzi chakula Shuleni.ikiwa ni Mkakati wa  kitaifa wa kuhakikisha mtoto awapo shuleni anapata chakula .

Katika shule ya Msingi Robanda wazazi wamekuwa mstari wa mbele kuchangia chakula  Shuleni na hivyo kufanya watoto wote kuanzia darasa la Awali hadi la Saba kupata chakula.

‘’Kila Muhula tunakuwa na  kikao cha wazazi kwa ajili ya kuandaa bajeti ya uji wa wanafunzi wakiwa shuleni ‘’Alisema  mkuu Msaidizi wa  Shule hiyo Mwl.Noel Abel

Kwa Upande wa Wanafunzi wameishukuru serikali kwa kusimamia swala la Lishe mashuleni  pamoja na wadau wa utalii Focus on Tanzania communities kupitia Thomson safaris LTD Kwa kuwajengea Jiko la kisasa kwa ajili ya kupikia chakula wakiwa Shuleni.


Diwani wa kata ya Ikoma Mhe.Michael Kunani amewataka wazazi kuendelea kuchangia  chakula shuleni kwani ni  chakula ambacho mtoto angeweza kula nyumbani kiletwe shule aweze kula  na kumpa mtoto utulivu wa kimsomo na kuweza kufanya vyema katika masomo yake.

Aidha,Afisa Lishe Wilayana Bi.Flomena Cyprian ameipongeza shule hiyo kwa kuwa mstari wa mbele katika huzingatia swala la lishe na  kuzitaka nyingine wazazi kuhamasika  kuchangia chakula  Shuleni ili kuwajegea watoto afya Njema na Kuongeza utulivu wa kimasomo na kuomgeza ufaulu wao na shule kupata matokeo mazuri


Halmashauri ya wilaya ya Serengeti inaendelea kutenga na Mapato yake ya ndani katika kutekeleza afua mbalimbali za Lishe  kama ambavyo Mhe.Rais alitoa maelekezo wakatika kusaini mikataba ya Lishe Hivi karibuni.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti