• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAZAZI ROBANDA WAJITOA KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATA CHAKULA SHULENI

Imewekwa: October 24th, 2022


Shule ya Msingi Robanda  Kata ya ikoma wilayani Serengeti kwa kushirikiana  na uongozi wa  kijiji na Kata ni miongoni mwa shule zinazotekeleza utaratibu wa  kuwapatia wanafunzi chakula Shuleni.ikiwa ni Mkakati wa  kitaifa wa kuhakikisha mtoto awapo shuleni anapata chakula .

Katika shule ya Msingi Robanda wazazi wamekuwa mstari wa mbele kuchangia chakula  Shuleni na hivyo kufanya watoto wote kuanzia darasa la Awali hadi la Saba kupata chakula.

‘’Kila Muhula tunakuwa na  kikao cha wazazi kwa ajili ya kuandaa bajeti ya uji wa wanafunzi wakiwa shuleni ‘’Alisema  mkuu Msaidizi wa  Shule hiyo Mwl.Noel Abel

Kwa Upande wa Wanafunzi wameishukuru serikali kwa kusimamia swala la Lishe mashuleni  pamoja na wadau wa utalii Focus on Tanzania communities kupitia Thomson safaris LTD Kwa kuwajengea Jiko la kisasa kwa ajili ya kupikia chakula wakiwa Shuleni.


Diwani wa kata ya Ikoma Mhe.Michael Kunani amewataka wazazi kuendelea kuchangia  chakula shuleni kwani ni  chakula ambacho mtoto angeweza kula nyumbani kiletwe shule aweze kula  na kumpa mtoto utulivu wa kimsomo na kuweza kufanya vyema katika masomo yake.

Aidha,Afisa Lishe Wilayana Bi.Flomena Cyprian ameipongeza shule hiyo kwa kuwa mstari wa mbele katika huzingatia swala la lishe na  kuzitaka nyingine wazazi kuhamasika  kuchangia chakula  Shuleni ili kuwajegea watoto afya Njema na Kuongeza utulivu wa kimasomo na kuomgeza ufaulu wao na shule kupata matokeo mazuri


Halmashauri ya wilaya ya Serengeti inaendelea kutenga na Mapato yake ya ndani katika kutekeleza afua mbalimbali za Lishe  kama ambavyo Mhe.Rais alitoa maelekezo wakatika kusaini mikataba ya Lishe Hivi karibuni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI July 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SEMINA YA SIKU TATU KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA SERENGETI YAHITIMISHWA RASMI.

    August 06, 2025
  • BARAZA LA MAMLAKA YA MJI MDOGO SERENGETI LAZINDULIWA LEO.

    July 10, 2025
  • TSC SERENGETI YAENDESHA MAFUNZO ELEKEZI KWA WALIMU WAPYA 89.

    July 09, 2025
  • DAS MASIKO AKABIDHIWA OFISI.

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti