• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Watumishi 133 Serengeti kulipwa malimbikizo ya mishahara.

Imewekwa: February 10th, 2018

Serikali kupitia mfumo wa taarifa za kiutumishi na mishahara (Human Capital Management Information System – HCMIS/Lawson) imehakiki madeni ya watumishi 82,111 wanaodai madeni yenye jumla ya shilingi 127,605,128,872.81

Uhakiki umebaini madai ya jumla ya watumishi 27,389 kati ya 82,111 yenye thamani ya shilingi 43,393,976,807.23 sawa na 34% ya madai yote yaliyohakikiwa kuwa ni sahihi na yanastahili kulipwa bila marekebisho.

Kati ya watumishi 27,389 waliohakikiwa, watumishi 133 ni wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti ambao madai yao yameonekana kuwa na vielelezo.

Orodha ya majina ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti imeambatanishwa.

BOFYA HAPA KUPATA ORODHA YA MAJINA YA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI.

BOFYA HAPA KUPATA ORODHA YA MAJINA YA WATUMISHI WA UMMA 23,389 WANAOSTAHILI KULIPWA MADAI YA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA

                                                                                                                                                                                                                                           

Awali jana akiongea na waandishi wa habari Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amesema madai hayo yanajumuisha mishahara isiyolipwa, tofauti ya mishahara kutokana na kukaimu na nyongeza za mishahara zilizotokana na kupandishwa vyeo na kuchelewa kurekebishwa mishahara.

“Kufikia tarehe 01 Julai, 2017 Serikali ilikuwa na madai ya malimbikizo ya mishahara yenye jumla ya shilingi Bilioni 127.6 kwa watumishi 82,111 wakiwamo walimu 53,925 waliokuwa wakidai Shilingi Bilioni 53.94 sawa na asilimia 42.27 ya madai yote na wasiokuwa walimu 28186 wanaliokuwa wakidai Bilioni 73.6 sawa na asilimia 57.73” Alisisitiza Dkt. Mpango.

Akizungumzia matokeo ya uhakiki wa madeni hayo Dkt. Mpango amesema kuwa madai ya watumishi 27,389 kati ya 82,111 yenye jumla ya shilingi bilioni 43.39 ikiwa ni asilimia 34 ya madai yote ya shilingi bilioni 127.6 yaliyohakikiwa yameonekana ni sahihi na yanastahili kulipwa bila marekebisho.

Waziri Dkt. Mpango aliongeza kuwa madai yanayostahili kulipwa yanajumuisha shilingi bilioni 16.25 kwa walimu 15,919 na shilingi bilioni 27.15 kwa watumishi wasiokuwa walimu 11,470.

akifafanua kuhusu matokeo ya madai hayo yamewezesha Serikali kuokoa jumla ya shilingi bilioni 84.22 ambazo ni sawa na asilimia 66 ya madai yote ya malimbikizo ya awali ya shilingi bilioni 127.61 yaliyokuwa kwenye mfumo.

Aidha, Waziri Dkt. Mpango amesema kuwa hatua hiyo ni matokeo ya juhudi za Serikali ambazo ni pamoja na kuwaondoa kwenye mfumo wa malipo ya mishahara watumishi hewa, vyeti feki na wasio na sifa.

Serikali itaendelea kulipa madai ya watumishi kadiri yanavyojitokeza ili kuondokana na malimbikizo ya aina hii ambayo yanaweza kuisababishia Serikali hasara kwa kulipa madai yasiyostahili.

chanzo http://bongo5.com/watumishi-wa-umma-27389-kulipwa-madeni-yao-mwezi-huu-02-2018/


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti