• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA KATIBA NA SHERIA ZA UCHAGUZI KATIKA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020

Imewekwa: August 8th, 2020

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Serengeti Mhandisi Juma Hamsini amewataka Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata kuzingatia matakwa ya Katiba na Sheria zinazosimamia uchaguzi nchini katika kusimamia Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 28 Mwaka huu.

Mhandisi Juma ameyasema hayo Jana Tarehe 07/08/2020 wakati akifungua mafunzo ya usimamizi wa Uchaguzi kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kutoka Kata 30 za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti zinazotarajia kushiriki katika Uchaguzi huo, yanayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti ambapo kesho Tarehe 09/08/2020 yatahitimishwa

Alisema pamoja na baadhi ya Wasimamizi kuwa na uzoefu katika kusimamia chaguzi mbalimbali, aliwasisitiza kuzingatia maelekezo watakayopewa na katika mafunzo haya katika kusimamia uchaguzi huo badala ya kusimamia kwa mazoea kwani Tume imewaamini kuwa wanaweza kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia matakwa ya Katiba na Sheria.

“Ndugu washiriki mnatakiwa kutambua kuwa mmeaminiwa na kuteuliwa kwa sababu mnao uwezo wa kufanya kazi hii jambo la muhimu ni kujiamini na kujitambua na kwamba mtapaswa kuzingatia sheria, miongozo, kanuni na maelekezo yanayotolewa na Tume kwa ajili ya kuendesha na kusimamia chaguzi” alisema Mhandisi Juma.

Aidha Mhandisi Juma aliwataka wasimamizi hao wa uchaguzi kuwepo muda wote wakati wa kutekeleza majukumu ya uchaguzi na hata pale inapotokea dharura wahakikishe anakuwepo msimamizi atakayetekeza majukumu yao.

Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ili kutekeleza vyema majukumu yao katika kipindi chote cha mchakato wa uchaguzi kuanzia sasa hadi viongozi wapya watakapopatikana.MAfunzo yaliyofanyika kwa nadharia na vitendo.

Kwa picha zaidi bofya hapa.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti