• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAFUGAJI WAOMBWA KUJITOKEZA KUVALISHA MIFUGO YAO HERENI ZA UTAMBUZI ZA KIELEKRONIKI

Imewekwa: October 27th, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dkt.Vincent Mashinji amewaomba wafugaji wote wilayani Serengeti kujitokeza katika vituo Maalumu vilivyotengwa kwaajili kuvalisha mifugo yao hereni za utambuzi   za kielekroniki ikiwa njia ya kutambua mifugo ilipo na umiliki wake,kukabili magonjwa ya mlipuko ,kuwa na hakikisho la usalama wa chakula,kurahisisha biashara ya mifugo na mazao yake ndani ndani na nje ya Nchi,udhibiti wa wizi wa mifugo,kurahisisha upatikanaji wa mifugo iliyopotea,kurahisisha uboreshaji wa koosafu za mifugo lakini pia utambuzi huu utasaidia upatikaniji wa mikopo  na bima za mifugo,ikiwa gharama za  kwa Kila Ng’ombe/punda ni Tzs.1,750/=Tu na Mbuzi/kondoo Tzs.1000/=Tu

Akizungumza na baadhi ya wafugaji katika kijiji cha Burunga kata ya uwanja wa ndege Dkt.Mashinji  amewaomba wafugaji waone umuhimu mkubwa ulipo katika kuvalisha mifugo yao Hereni hizo na Dhumuni la serikali ni kuitaji kutambua mifugo iliyopo na kuweza kusaidia kuthibiti  wizi wa mifugo.

Kwa upande wa Diwani wa kata ya Uwanja wa ndege Mhe.Matoke Joseph amemuomba  Mkuu wa Wilaya ya Serengeti kusaidia elimu  juu hereni za kielekroniki kuwafikia wafugaji  ili uweza kuleta uwelewa wa faida na umuhimu wa kuwawekea mifugo yao hereni hizo.

Aidha,Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Ndg.Simeon Waryuba amewataka wafugaji kufanya ufugaji wenye tija ’’faida za uwekaji wa hereni hizi naweza kuziweka kwenye makundi mawili,moja ni usalama na pili ni uchumi,Serengeti uchumi wetu unategemea ufugaji lakini hatujafuga kwa tija’’alisema Waryuba

Awali akisoma Risala kwa mgeni rasmi Mkuu wa kitengo cha mifugo Bi.Rehema koka amesema zoezi la uvishaji Hereni linafanyika ili kutekeleza sheria ya utambuzi,usajiri na ufatiliaji wa mifugo Na.12 ya mwaka 2010 na kanuni zake za mwaka 2011 ,sera ya taifa ya maendeleo ya mifugo ya mwaka 2006 na ilani ya chama cha mapinduzi  (CCM) ya mwaka 2020-2025,Wilaya ya Serengeti  inategemea kuvalisha idadi ya mifugo  hereni ikiwa N’gombe  514,660, Punda 5,089,Mbuzi 255,821, Jumla ya Mifugo 964,208.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti