• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERENGETI YAENDESHA SEMINA YA UHAKIKI WA TAARIFA ZA USULUHISHI WA KIBENKI (BANK RECONALIATION) KWA WAHASIBU

Imewekwa: July 4th, 2019

Leo tarehe 04.07.2019 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kupitia Idara ya Fedha, imeendesha semina ya mafunzo ya usuluhishi wa kibenki (bank reconciliation) kwa wahasibu wote waliopo katika  shule, zahanati pamoja na vituo vya  afya vilivyopo wilayani humu, semina iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmshauri.

Washirika wa semina wakimsikiliza muwezeshaji

Akiongea baada ya mafunzo hayo mwezeshaji ambaye ni Mkuu wa  Idara ya Fedha Bw. Itendele Maduhu amesema kuwa semina hii ni ya siku mbili yaani leo na kesho na yana lengo ya kuhakiki taarifa za kibenki pamoja na kuwajengea uwezo wahasibu hao katika utumiaji wa mfumo wa “FARRS”

Bw. Maduhu ameongeza pia kusema kwamba usuluhishi wa kibenki ni hitaji la kisheria kwa kuzingatia sheria ya Memoranda ya fedha ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ya  mwaka 2009 hivyo ni lazima kila anayehusika kuhakikisha anasimamia na kutekeleza usuluhishi huo.

Aidha Bw. Maduhu amewasisitiza wahasibu  wote kuwa usuluhishi wa kibenki katika mfumo wa  “FARRS” uwe unafanyika ndani ya siku kumi (10) kila baada ya Mwezi Kuisha na wazingatie muda, kanuni na  taratibu za kifedha zinafatwa ipasavyo.

Baadhi ya washiriki wakimsikiliza muwezeshaji (hayupo pichani) kwa makini

 Miongoni wa wahasibu walioshiriki mafunzo hayo  Bw.  Samson Mgutu (Mhasibu wa shule ya sekondari  Nyansurura) amesema kuwa anashukuru  uongozi wa halmashauri kwa kufanya semina hiyo kwani wanaamini kuwa itakuwa chachu katika utendaji wao wa kazi hivyo kupitia semina hii  watatekeleza kwa wakati yale yote waliyofundishwa kwa kuzingatia  sheria na kanuni zote za kifedha zinafuatwa.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti