• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

OR TAMISEMI YATOA MSAADA WA KOMPYUTA NA PRINTA KWA AJILI YA VITUO VYA AFYA

Imewekwa: February 22nd, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti tumepokea Kompyuta (Desktop) tano na Printa tano kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, kwa ajili ya Vituo vya afya vitano ambavyo ni Natta, Iramba, Kebanchebanche, Kemgesi na Machochwe.Tunategemea vifaa hivi vitaongeza thamani katika juhudi za serikali za kuimarisha utoaji wa huduma bora za afya katika vituo tajwa.

Kabla ya Kukabidhi sehemu ya msaada wa vifaa hivyo katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya, Mh. Juma Porini Keya (Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya) aliishukuru sana Serikali kwa mchango wa vifaa hivyo.

Mh. Porini aliongeza kwa kusema “Naamini watazitumia vizuri kuhakikisha kwamba lengo na makusudio ya kuzipata hizi mashine wanatekeleza kwa hiyo naomba wazitunze vizuri sana lakini pia zisiwepo kama mapambo kuhakikisha wanazitumia na kadri ya maelekezo yalivyotolewa” alisema

Kwa upande wao Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Natta DKT Crisantus Magori na Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Iramba DKT Golobana Wellah Wakipokea mashine hizo kwa niaba ya Vituo vyote Vitano walisema wanaishukuru sana Serikali kupitia OR TAMISEMI kwa msaada huu japo bado kuna uhaba wa vifaa kama hivyo lakini wanashukuru hata kwa hivi walivyovipata sasa.

DKT Crisantus Magori mwenye shati Jeupe pamoja na DKT Emiliana Donald (kaimu Mganga mkuu wa Wilaya) mwenye Blauzi ya pinki wakipokea sehemu ya vifaa vilivyotolewa na Serikali kupitia OR TAMISEMI  kutoka kwa Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Juma Porini Mwenye shati la Kijivu

DKT Golobana Wellah (kushoto) pamoja na DKT Emiliana Donald (kaimu Mganga mkuu wa Wilaya) mwenye Blauzi ya pinki wakipokea sehemu ya vifaa vilivyotolewa na Serikali kupitia OR TAMISEMI kutoka kwa Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Juma Porini Mwenye shati la Kijivu

Picha ya pamoja baada ya halfa fupi ya kupokea vifaa

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti