• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ONGEZENI ELIMU KWA WANANCHI MADHARA YA UKEKETAJI - MHE. MAKURUMA

Imewekwa: November 9th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mhe. Ayub Makuruma amelitaka shirika la "Hope for girls and women" kuongeza elimu kwa wakazi wa Wilaya ya serengeti juu ya madhara ya ukeketaji na ukatili kwa wanawake.


akizungumza wakatika wa mkutano wa baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya serengeti Mhe. Makuruma amesema ili vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake viweze kufikia kikomo ni vyema kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ili wajue madhara yake.

"Endapo mtaongeza elimu hata mkitumia nguvu kidogo watu wataelewa haraka kuliko kutumia nguvu nyingi alafu bado matokeo yanakuwa mabaya" alisema Mhe. Makuruma.


Kwa upande wake mkurugenzi wa Shirika la Hope for Girls shirika linalojihusisha na kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake amesema shirika hilo kinaendelea kuweka juhudi ya kutoa elimu pamoja na kuwasaidia watoto wa kike wanao kumbana na kadhia ya ukeketaji.


Katika Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri hiyo kamati za kudumu zimepata fursa ya kuwasikisha taarifa za utekelezaji wa shughuli zilizofanywa na Halmashauri kwa kipindi chote cha robo ya Kwanza (Julai - Septemba 2023).




Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA November 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 05, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI September 21, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA SERENGETI September 07, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WORLD CHANGER VISION: KUTOKA MWANAFUNZI MMOJA HADI KUWA MWOKOZI WA MAMIA YA NDOTO ZA VIJANA KATIKA ELIMU

    November 17, 2023
  • HOSPITALI YA NYERERE DDH SERENGETI YAUNGA MKONO JITIHADA ZA WHO KUTOKOMEZA KISUKARI

    November 14, 2023
  • ONGEZENI ELIMU KWA WANANCHI MADHARA YA UKEKETAJI - MHE. MAKURUMA

    November 09, 2023
  • WATENDAJI WA KATA SERENGETI WAWASILISHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI KATIKA BARAZA LA MADIWANI

    November 08, 2023
  • Angalia zote

Video

DKT.MASHINJI ASITISH A SHUGHULIZA UCHIMBAJI KOKOTO KUFUATIA KIFO CHA MCHIMBAJI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti