• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MZEE MKONGEA ALI AISIFU SERENGETI KATIKA MIRADI YA MWENGE

Imewekwa: June 5th, 2019

Sifa hizo zimemwagiwa na Mkimbiza mwenge wa uhuru kitaifa kwa mwaka 2019 Ndg. Mzee Mkongea Ali wakati alipokuwa akitembelea miradi ya maendeleo iliyotengwa kwa ajili ya mbio za mwenge wa uhuru wilaya Serengeti ili kuzindua, kuweka jiwe la msingi na kutembelea.

Mwenge wa uhuru katika wilaya ya Serengeti umeweza kupokelewa leo tarehe 05/06/2019 katika kijiji cha Nyansurura, Kata ya Nyansurura, Tarafa ya Ikorongo kutoka wilaya ya Tarime na Kauli mbiu ya Mwaka huu ikiwa “MAJI NI HAKI YA KILA MTU, TUTUNZE VYANZO VYAKE NA TUKUMBUKE KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA”

Mwenge wa Uhuru umeweza kutembelea miradi ya maendeleo tisa yenye jumla ya thamani ya Tsh. 1,838,990,684.80 ikiwa michango ya serikali kuu Tshs 893,740,251.80, michango ya halmashauri Tshs 73,797,760.00 michango ya wananchi Tshs 643,514,673.00  na michango ya wahisani Tshs 227,938,000.00.

Mwenge wa uhuru uliweza kutembelea na kuzindua miradi mitano ambayo ni mradi wa nyumba ya walimu “Six in one” na Klabu ya Mapambano dhidi ya Rushwa katika Shule ya Sekondari Mama Maria Nyerere, vyumba viwili vya madarasa katika shule ya Msingi Getarungu, mradi wa kisima cha maji katika Kijiji cha Makundusi kata ya Natta, mradi wa Shule ya Sekondari Makundusi Kata ya Natta na Mradi wa kitalu cha Miti makao makuu ya wilaya.

Pia mwenge wa uhuru uliweza kutembelea na kuweka mawe ya msingi katika miradi mitatu ambayo ni mradi wa Kiwanda cha Alizeti katika Kijiji cha Kenyana, mradi wa jengo la wodi ya wazazi Zahanati ya Kenyana Kijiji cha Kenyana na mradi wa uzio wa Mnada wa mifugo Mugumu Mjini

Vilevile Mwenge wa uhuru umeweza kutembelea barabara ya lami ya Kilomita 1.3 iliyopo Mugumu Mjini.

Aidha Ndg. Mzee amesisitiza kuwa miradi yote iliyotolewa ushauri ihakikishwe inarekebishwa kwa wakati uliopendekezwa

Naye Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Ndg. Nurdin Babu ameahidi kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya pamoja na wataalamu wote kuhakikisha kuwa ushauri wote uliotolewa kwenye miradi hiyo inatekelezwa kwa wakati

 Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukabidhiwa kesho tarehe 06/06/2019  Mkoani Arusha katika Kijiji cha Ololosokwan na Mkuu wa Mkoa wa Mara Ndg. Adamu Kighoma Malima

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI July 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WADAU WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWA KUZINGATIA MIONGOZO YA KILIMO CHA ZAO LA TUMBAKU ILI KUPATA TIJA YA ZAO HILO.

    June 17, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA PARK NYIGOTI SERENGETI WANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUTOKA GRUMETI FUND.

    June 13, 2025
  • GRUMETI FUND YAENDELEA KUGUSA MAISHA YA VIJANA WA KIKE NA KIUME WILAYANI SERENGETI.

    June 04, 2025
  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti