• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mwenyekti wa Chama cha Mapinduzi Mhe Jacob Bega na Mwenyekti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Ayub Mwita Makuruma waendelea na ziara Kata ya Nyamoko na Kebanchabancha

Imewekwa: March 1st, 2021

Mwenyekiti  wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Jacob Bega na Mwenyekiti wa Halmashauri  ya Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa Ayub Mwita Makuruma wameendelea na ziara katika Kata za Kebanchabancha na Nyamoko ambako wameendelea na zoezi la kuhamasisha shughuli za Maendeleo katika Kata hizo kulingana na ratiba yao walivyopanga.

Wakiwa Kata ya Kebanchabancha walipokelewa na Diwani wa Kata hiyo Mheshimiwa Chacha Matiko pamoja na Wajumbe wa WDC wa kata hiyo ambapo pia taarifa za miradi inayotekelezwa ndani ya Kata ilisomwa pamoja na kuelezea mafanikio yaliyo ndani ya Kata hiyo lakini changamoto ambazo wanakutana nazo katika kutekeleza miradi yao ndani ya Kata yao.

Mheshimiwa Chacha Matiko amewaeleza viongozi hao miradi inayotekelezwa ndani ya Kata hiyo ni pamoja na Ujenzi wa Shule mpya ya Kebanchabancha ambayo inajengwa na makundi( rika esaigha) ambayo mpaka sasa tayari wameshafikia hatua ya kupaua alitumia nafasi hio pia kumshukuru Mwenyekiti wa Halmashauri Ayub Mwita Makuruma  pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini  kwa kuwapelekea vifaa vya madukani kama Mabati,Mbao,Saruji ambazo kwa kiasi kikubwa zimewasaidia kukamilisha lakini pia amewashukuru Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Ndugu Joel Mwita na Afisa Elimu Kata hiyo Ndugu Adam Nyakimori kwa kazi nzuri ya kusimamia mradi huo wa ujenzi wa Shule hiyo mpya ya Sekondari.

Ziara hiyo iliendelea ambapo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na Watalaam toka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji ilifika Kata ya Nyamoko na kupokelewa na Diwani wa Kata hiyo Mheshimiwa Bugi Mwita Mrimi ambapo pia aliwashukuru kwa kufika.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi alipokea taarifa ya utekelezaji wa Miradi ndani ya Kata hiyo ambapo kwa sasa tayari wametnga hekari 8 kwa ajili ya Ujenzi wa Shule ya Sekondari Masangura kwani wananchi wa Kijiji hicho bado wako nyumba kimaendeleo.

Mheshimiwa Bugi alitumia nafasi hiyo kuelezea changamoto walizonazo wananchi wa Kata ya Nyamoko ambapo alitoa changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa hasa kwa Shule ya Kwitete pia Shule ya Nyangwe wana shida hiyo japo kwa sasa tayari wameanza ujenzi wa madarasa na changamoto nyingine iko Masangura ambapo miundo mbinu ya barabara sio mizuri kunafikika lakini kwa shida.

Mwisho aliwashukuru viongozi wa Halmashauri kwa kuhakikisha wanapata Mbati 120,Saruji Mifuko 50 pamoja na Milioni 12 ambazo zimetolewa na Halmashauri kwa ajili ya Ngarawani Sekondari.

Imetolewa na:-

Kitengo cha Mawasiliano-Tehama

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

01/03/2021

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti