• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Serengeti na Mkurugenzi Mtendaji wakanusha upotevu wa Mapato 80% taarifa iliyoripotiwa jamii forum 17/02/2021

Imewekwa: February 18th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa Ayub Mwita Makuruma ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Busawe na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini 18/02/2021 wamefanya Mkutano na Waandishi wa Habari lengo ikiwa ni kukanusha taarifa ya upotevu wa Mapato ya Halmashauri.

Wakizungumza na Waandishi hao katika Mkutano huo uliofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi ambao pia umehusisha Wakuu Idara mbali mbali toka Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na Mkurugenzi Mtendaji kwa pamoja wamesema taarifa hizo za upotevu wa Mapato kwa 80% ni za uwongo na zenye lengo la kuichafua Halmashauri ya Wilaya Serengeti kwani Taarifa hio ilikunuliwa kwenye Kikao cha Bajeti ikiwa ni Kikao cha Kawaida cha Bajeti ambapo Madiwani walizingumzia hali ya Ukusanyaji Mapato pamoja na kuibua vyanzo vingine vya Mapato na pia kuangalia ukusanyaji wa Ushuru katika vizuizi vya Nyansurura pamoja kile cha Issenye.

Taarifa ilioandikwa na Mtandao Jamii Forum ilikuwa ni Taarifa ya kupotosha kwani kama ni kweli 80% yanapotea basi Halmashauri hio ya Serengeti ingekuwa imepata Hati chafu jambo ambalo halijawahi kutokea na hata hivo walisisitiza kuwa wako Makini katika masuala mazima ya Ukusanyaji ya Ndani kama mwongozo umavosema wa ukusanyaji Mapato pamoja na Ushuru wa Minada pamoja na makusanyo mengine.



Mkurugenzi Mtendaji amethibitisha kuwa hakukuwa na hoja hio kwenye Kikao na wala Madiwani hakuzungumza hoja ya namna hio hivo Wananachi wawe watulivu kwani bado Halmashauri inakusanya Ushuru vizuri ambao ndio chachu ya ufanyaji shughuli za Maendeleo ndani ya Halmashauri katika Mkutuno huo Mkurugenzi Mtendaji Mhandisi Juma Hamsini alibainisha Miradi baadhi ambayo imetokanana ukusanyaji wa Mapato ya ndani ni pamoja na Ujenzi wa Hospital ya Wilaya Serengeti, Ujenzi wa Stend Mpya ya Mabasi Mugumu lakini kuongezeka kwa Shule za Msingi toka 103 hadi 140 huku shule za Sekondari za Umma zikivuka toka 16 mpaka kufikia 40.



Hata hivyo Mheshimiwa Makuruma na Mhandisi Hamsini wamemaliza kwa kusema kuwa Halmashauri iko vizuri katika ukusanyajina hakuna hata senti moja inayopotea kwani zote zinakusanywa kwa mfumo wa kisasa hivyo wananchi waendelee kuwa na Imani na Halmashauri yao na wazidi kuchapa kazi bila wasiwasi.

Imetolewa
Afisa Habari- Mahusiano
Emmanuel Isyaga Mwita
Halmashauri ya Wilaya Serengeti.















ReplyForward






Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti