• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Jacob Bega na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa Ayub Mwita Makuruma wafanya ziara ya kutembelea Kata kuhamasisha Maendeleo

Imewekwa: February 24th, 2021

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa  Jacob Bega amefanya ziara  Kata ya Nyansurura na Rung’abure akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa Ayub Mwita Makuruma pamoja na Afisa Mipango Mwandamizi Ndugu Martin Mlelema ambaye amemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Ziara  ilianzia Kata ya Nyansurura, lengo la ziara hiyo  lilikuwa ni kusikiliza  kero pamoja na mipango ambayo Kata imejiwekea kwa ajili ya kukamilisha shughuli za maendeleo, akiwakaribisha viongozi hao Diwani wa Kata hio Mheshimiwa Joeseph Seronga aliwathibitishia viongozi hao kuwa kazi imeanza Kata ya Nyansurura  na kwamba yeye pamoja na wataalam walioko katika Kata hio wamejipanga kufanya kazi kwa kushirikiana.

Taarifa ya Kata hio ilisomwa na Kaimu Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Ndugu Damas Elias Nyantito ambayo ilionesha changamoto na mafanikio walioyapata kwenye shughuli za Maendeleo nakwamba wamepokea fedha Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kupaua Zahanati ya Nyansurura,Mabati 70, Mbao 360, Mifuko ya Saruji pia Tsh 2,525,000/= zimetengwa kwa ajili ya kujenga josho. Pamoja na mafanikio hayo alitaja changamoto ikiwa ni pamoja na upungufu wa madawati ,wanafunzi kukosa chakula shuleni.

Ziara  ilihitimishwa Kata ya Rung’abure ambapo pia viongozi hao walipokelewa na viongozi wa Kata hio akiwemo Diwani wa Kata hio Mheshimiwa Samwel Nguti pamoja na wataalam  ngazi ya Kata ambao walishukuru viongozi  kufika katika Kata hio.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi aliwaambia lengo la ziara hio ni kuwashukuru kwa ajili ya ushindi kwa viongozi waliopatikana lakini pia kusikiliza kero kwenye Kata hio.

Kata ya Rung’abure ni moja ya Kata ambazo zimepokea vifaa toka Halmashauri ya Wilaya Serengeti ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi zinazofanywa na wananchi, Diwani wa Kata hio amethibitisha kuwa wamepokea vifaa kwa ajili ya Shule ya  Sekondari Gesarya Mabati 180,Mbao 300,Saruji Mifuko 50  pia, Ruwasa imelipa Tanesco Tsh 97,984,000/=   kwa ajili ya kutengeneza miundo mbinu ya Umeme ili Wananchi waweze kupata Maji ya Uhakika.

Kata hiyo imejiwekea mkakati wa kujenga Shule ya Sekondari kila Kijiji na wameanza Shule ya Sekondari Gesarya, Kijiji cha Nyamerama pia tayari wameanza kupeleka viashiria kwa ajili ya ujenzi wa Sekondari Nyamerama Mheshimiwa Samwel Nguti amesema lengo hilo la kuwa na Sekondari kila Kjiji ni maandalizi ya kuifanya Ikorongo Sekondari kuwa ya Kidato chaTano na cha Sita.

Afisa Mtendaji wa Kijiji Gesarya Bi Theresia Marwa amethibitisha kuwa Halmashauri ilitoa Tsh 5,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa Nyumba ya Walimu wawili kwenye jengo moja Shule ya Sekondari Gesarya pamoja na mchango huo wa Halmashauri wananachi bado wanasuasua hivo waongeze bidii ili kukamilisha jengo hilo.  

Imetolewa 

Afisa Habari- Mahusiano

Emmanuel Isyaga Mwita

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti