• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkurugenzi Mtendaji(W) afanya Kikao Kazi na Maafisa Watendaji Kata na Vijiji kwa lengo kuboresha ukusanyaji Mapato

Imewekwa: May 7th, 2021

MAAFISA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAFANYA KIKAO KAZI NA MKURUGENZI MTENDAJI(W) PAMOJA NA WATAALAM LENGO LIKIWA NI KUONGEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO


Mkurugenzi Mtendaji(W)Eng Juma Hamsini  leo 07/05/2021 amefungua Kikao Kazi  katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti na kuhudhuliwa na Watendaji wa Kata 30 pamoja na Vijiji 78 lengo hasa la Kikao hicho likiwa ni kuelimishana juu ya kuongeza kasi ya ukusanyaji wa Mapato kwenye maeneo yao ya kazi lakini pia kukumbushana majukumu yao mbali mbali.


Mara baada ya kufungua Kikao Mkurugenzi Mtendaji Eng Juma Hamsini aliwasihi Maafisa hao wa Serikali kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato bila kumuonea mfanyabiashara yoyote wafuate sheria na kanuni kwenye utendaji na mafanikio yataonekana.


Sambamba na hilo Bwana Sunday Wambura ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii alipata nafasi ya kuwakumbusha Maafisa Watendaji majukumu yao na kwamba wao ni wawakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji(W) hivyo wasiogope kufanya kazi ya kusimamia majukumu kwa mujibu wa sheria.


Bi Veronica Christopher ni Mwanasheria wa Halmashauri alitumia muda wake kuwakumbusha Maafisa Watendaji wa Vijiji majukumu yao hasa kusimamia vikao vya kisheria kwenye Vijiji vyao pamoja na Mikutano ya kisheria kwenye vijiji vyao kwa kila robo ambayo inajumuisha usomaji wa Mapato na Matumizi kwenye vijiji vyao.


Kupitia kikao hicho Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Bwana Dinary Gimery alipata wasaa wa kuwakumbusha Maafisa Watendaji hao juu ya uandaji taarifa ya Mapato na Matumizi kwenye vijiji vyao. 

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti