• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JIMBO LA SERENGETI KUSHIRIKISHA WADAU KILA HATUA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020

Imewekwa: August 6th, 2020

Jimbo la Serengeti limesisitiza kuwa itashirikisha wadau wote wa uchaguzi hususan Vyama vya Siasa katika kila hatua inayopitia kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwaka 2020.


Hayo yamesemwa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Serengeti Mhandisi Juma Hamsini wakati kikao cha pamoja na Vyama vya Siasa kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kwa lengo la kuwafahamisha maelekezo muhimu ya Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 Mwaka huu ili kujenga misingi ya demokrasia inayolenga kuendesha chaguzi huru, wazi na wa kuaminika.

Kwa mujibu wa wa Msimamizi wa Uchaguzi, Jimbo la Serengeti limewashirikisha Vyama vya Siasa katika katika hatua zote muhimu ikiwa pamoja na kuwapatia vitabu vya rejea ambavyo ni Maelekezo ya vyama vya siasa na Maadili ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020 ikiwa ni sehemu ya kufanikisha zoezi la Uchaguzi Mkuu.

Mhandisi Juma amesisitiza pia vyama vyote vihakikishe vinafuata Sheria na Kanununi zinazosimamia na kuongoza Uchaguzi na iwapo kutakuwa na malalamiko yoyote ni vyema yakawasilishwa kwa maandishi na siyo kwa mdomo. Aidha amesema kuwa Ofisi za Uchaguzi zitakuwa wazi hadi saa mbili kamili usiku na ameshawaagiza Wasimamizi Wasaidizi ngazi ya Kata kuhakikisha kuwa Ofisi hazifungwi.

Akiwasilisha ratiba fupi ya Uchaguzi Msimamizi Msaidizi ngazi ya Jimbo Wakili Maganiko Msabi amesema kuwa fomu za Uteuzi zitatolewa kuanzia Tarehe 12 hadi 25 Agosti, 2020 na uteuzi utafanyika siku hiyo hiyo ya tarehe 25.08.2020, kampeni zitafanyika kuanzia Tarehe 26 Agosti hadi 27 Oktoba, 2020 na Siku ya kupiga Kura itakuwa ni Tarehe 28 Oktoba, 2020

Vyama vilivyoshiriki katika kikao hiki ni pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama cha Wananchi - CUF na Chama cha ACT Wazalendo. Pia vyama vya siasa vyenye usajili wakudumu ambavyo vipo katika Jimbo hili vinakaribishwa kufika katika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi ili viweze kutambuliwa uwepo wao katika Jimbo hili hata kama havina ofisi.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti