• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

FZS YATUMIA ZAIDI YA TSH 800 KUPIMA NA KUANDA HATIMILIKI ZA KIMILA SERENGETI

Imewekwa: July 12th, 2022

ZAIDI YA TSH MILION 800 YATUMIKA KUPIMA NA KUANDAA HATI MILIKI ZA KIMILA SERENGETI


Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anjelina Mabula ameipongeza Shirika la Frankfurt Zoological Society (FZS) kwa kutumia zaidi ya Sh Milioni 800 kwa ajili ya kuandaa Hatimiliki za Kimila kwa vijiji vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Akikabidhi hati hizo kwa wananchi wa vijiji vya Nyichoka,Nyanungu na Bokore vilivyoko Wilaya ya Serengeti Waziri amesema, Mpango wa shirika huo unasaidia kuongeza thamani ya ardhi na kutatua migogoro ya ardhi kwa wananchi ambayo huchangia vifo na kujeruhiwa kwa wakulima na wafugaji.

Mabula amevitaka vijiji 7 ambavyo bado vina mgogoro wa wakulima na wafugaji na kusababisha wasipiwe ardhi yao vikae chini na kuelewana ili kupata muafaka utakaowasaidia kupata hati miliki kama ilivyo kwa vijiji vingine.

Mapema Meneja wa Mradi huo wa Frankfurt Masigeri Rurai amesema wameanda Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi kwa Wilaya za Serengeti na Ngorongoro kwa asilimia 99 na vijiji 22 kati ya 29 wamefanikiwa kupata hati miliki za kimila na wametumia sh 400 milioni kwa upimaji na sh 400 kwa ajili ya hatimiliki za kimila.
Amesema, vijiji 7 vilivyosalia bado vina mgogoro na kesi ipo mahakamani na wakipata muafaka wataendelea.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Frankfurt Zoological Society nchini Tanzania Dk Ezekiel Dembe amewataka wananchi hati walizopewa wazitunze kwa kuwa Ardhi ni mali na urithi pekee kwa Watoto, na ameipongeza wilaya hiyo kwa kuwapa ushirikiano uliowezesha kukamilisha mradi huo.

Mkuu wa wilaya ya Serengeti Dkt.Vincent Mashinji ameshukuru shirika la FZS kwa kazi kubwa waliyoifanya, ameagiza waliovamia maeneo ya serikali kuondoka haraka kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa.

Aidha Gertuda Nyambura na Maria Marwa wanufaika na mradi huo wamelipongeza shirika hilo na Waziri kwa kuwapa hati hizo ambazo zitawasaidia kutafutia fursa mbalimbali za maendeleo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI PENDEKEZWA WA VITUO WATAKAOFANYA KAZI KATIKA ZOEZI LA UCHAGUZI MKUU TAREHE 29 OKTOBA, 2025. October 21, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. October 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA September 16, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI July 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA NGUVU YA UTEKEKEZAJI WA MRADI WA MAJI SERENGETI.

    September 13, 2025
  • RC MTAMBI, AWAKARIBISHA WANANCHI KWENYE MAADHIMISHO YA MARA DAY.

    September 11, 2025
  • SEMINA YA SIKU TATU KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA SERENGETI YAHITIMISHWA RASMI.

    August 06, 2025
  • BARAZA LA MAMLAKA YA MJI MDOGO SERENGETI LAZINDULIWA LEO.

    July 10, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti