• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DED AFRAHA ATEKELEZA AGIZO LA RAC MTANDA, MAGARI YARUDI BARABARANI

Imewekwa: July 25th, 2023


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti Ndg. Afraha Hassan ameendelea kutekeleza kwa vitendo agizo la Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mtanda kwa kufanya matengenezo ya magari saba yaliyokuwa yamekaa muda mrefu bila matengenezo yoyote

Akizungumzia utengenezaji wa magari hayo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti  Ndg. Victor Rutonesha amesema magari saba  yametengenezwa na kurudi barabarani huku magari  yaliyosalia yakiendelea na utaratibu wa matengenezo

"Magari kumi na moja yaliyokaguliwa na Mkuu wa Mkoa tumefanikiwa kutengeneza magari saba na magari haya yamefanya kazi hata wakati wa mwenge tumeyatumia, magari matatu yaliyosalia yanaendelea na mchakato wa utengenezwaji" alisema Rutonesha


Itakumbukwa kuwa June 17, 2023 Mkuu wa Mkoa wa Mara alifanya ziara ya kikazi Wilaya ya Serengeti ambapo pamoja na mambo mengine alifanya ukaguzi wa magari katika Halmashauri ya Wilaya Serengeti na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo kuhakikisha magari yote yanafanya kazi vizuri.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI SERENGETI DC. November 17, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI PENDEKEZWA WA VITUO WATAKAOFANYA KAZI KATIKA ZOEZI LA UCHAGUZI MKUU TAREHE 29 OKTOBA, 2025. October 21, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. October 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA September 16, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • GRUMETI FUND YAJIVUNIA KUWA CHACHU YA MABADILIKO CHANYA KWA VIJANA ZAIDI YA ELFU 18 MKOANI MARA.

    November 14, 2025
  • KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA NGUVU YA UTEKEKEZAJI WA MRADI WA MAJI SERENGETI.

    September 13, 2025
  • RC MTAMBI, AWAKARIBISHA WANANCHI KWENYE MAADHIMISHO YA MARA DAY.

    September 11, 2025
  • SEMINA YA SIKU TATU KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA SERENGETI YAHITIMISHWA RASMI.

    August 06, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti