• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASHINJI AFANYA ZIARA KATA YA KIKAZI KATA YA KYAMBAHI

Imewekwa: July 22nd, 2023

Mkuu wa Wilaya Serengeti Dkt. Vincent Mashinji Leo amefanya ziara katika Kata ya Kiambai ili kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa kata hiyo pamoja na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Akiwa katani hapo Dkt. Mashinji ametembelea na kukagua ujenzi wa  Zahanati ya Kijiji cha Bokore ambapo amepongeza hatua za ujenzi wa Zahanati hiyo.
Aidha katika Kijiji hicho hicho Dkt. Mashinji ametatua changamoto ya mgogoro wa ardhi baina na serikali ya Kijiji na muwekezaji kwa kuwataka wananchi kufuata Sheria ya ardhi ya mwaka 1999 ili kuondokana na migogoro ya ardhi isiyokuwa ya lazima.

Vilevile Dkt. Mashinji katika Ziara yake katani Kyambahi ametembelea na kukagua ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya sekondari Nyichoka ambapo pia amepongeza hatua za ujenzi wa nyumba hizo na kukabidhi mifuko mia moja ya Simenti kwa serikali ya Kijiji cha Nyichoka iliyotolewa na mdau wa maendeleo Bw. Rhimo Nyansaho

Pia Dkt. Mashinji amemaliza ziara yake katika kata ya Kyambahi kwa kufanya mkutano wa hadhara katika Kijiji Cha  Nyanungu ambapo katika Kijiji hicho amemtaka mtendaji wa Kijiji hicho kukusanya michango yote iliyotolewa katika harambee ya ujenzi wa shule ya sekondari ya Nyanungu ili ujenzi huo ukamilike na shule iweze kufunguliwa mwakani.
Aidha katika Kijiji hicho  Dkt Mashinji amekabidhi mabati ya ujenzi wa Sekondari ya Nyanungu yaliyotolewa na mdau wa maendeleo Bw. Rhimo Nyansaho.

Ziara ya Mkuu wa Wilaya Serengeti Dkt. Vincent Mashinji katika kata ya Kyambahi ni mwendelezo wa ziara yake katika Kata zote za Wilaya ya Serengeti inayolenga kutatua changamoto za wanaserengeti pamoja na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti