• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

CWT SERENGETI YATOA BAISKELI KWA WALIMU WENYE ULEMAVU

Imewekwa: December 7th, 2022


Chama cha walimu Tanzania Wilayani Serengeti kimetoa  Baiskeli 5 zenye thamani ya Tsh 975,000/=kwa baadhi ya walimu wenye ulemavu kutoka shule za msingi    ili ziwasaidie katika kutelekeza majukumu yao ya kila siku ikiwa ni pamoja na kuwai kufika kazini.


Akikabidhi  baiskeli hizo kwa walimu hao mgeni rasmi katika hafla hiyo mkuu wa wilaya ya Serengeti Dkt.Vincent Mashinji amekipongeza chama cha walimu Serengeti kwa kulitambau  kundi hilo na kulishika mkono  na kuwahimiza nguvu kubwa kuwekeza kwenye maendeleo ya chama chao .

Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Serengeti Mwl.Mayala Lusawi amepongeza walimu wenye hali za ulemavu kwa kuwa mstari wa mbele katika kutelekeza majukumu yao na kuwa mchango mkubwa katika Jamii,akaongeza pia dhumuni la kupewa baiskeli hizo ni kuwarahisishia majukumu yao ya kila siku na kuwataka kuzitumia basikeli hizo kwa malengo yaliyokusudiwa

‘’Imetupendeza wenzetu hawa wenye  mahitaji maalumu tuwawezeshe vifaa hivi vya usafiri angalau wawe wanaweza kufika  kwa urahisi na kwa uharaka Zaidi katika vituo vyao vya kazi, hili wazo ni endelevu na tumetoa vifaa hivi kulingana na mahitaji yao’’Alisema Mayala

Nae,Katibu wa CWT Serengeti Ndg. Cloford Mkwama amesema ‘’Baiskeli hizi zitawasaidia Ndugu zetu hawa waweze kufika kazini kwa wakati,ili waweze kutimiza wajibu wao’’

Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Mara ndugu Abdallah Malima amesema  huu ni mwanzo na kama chama kitaendelea kutoa vitendea kazi  na sapoti kwa walimu ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo

Kwa upande wa Katibu wa CWT Mkoa wa Mara Sussane Shesha ameupongeza uongozi wa CWT Wilaya ya Serengeti kwa utoaji wa baiskeli na kuzitaka wilaya nyingine kuiga mfano huu,aidha ameikumbusha serikali kuendelea kuboresha mazingira kwa  kwa ajili ya walimu wenye ulemavu

Kwa niaba ya walimu wenye ulemavu Mwl.Okayo Misolo amesema wanakishukuru chama chao kwa kutambua uwepo wao na wameahidi kufanya kwa kazi kwa biddi kwa kushirikiana na viongozi .

Sambamba na hafla  hiyo ya ugawaji wa  baiskeli  CWT Serengeti iliendesha pia zoezi la uchaguzi la kuziba nafasi ya muakilishi wa vijana wa CWT serengeti  nafasi hiyo ilikuwa inagombewa na watu 6.ambapo ndugu Muhochi machugu alishinda nafasi hiyo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti