• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

CHACHA CHARLES ALLY MWENYEKITI MPYA WA BARAZA LA WAJUMBE WA MAMLAKA YA MJI MDOGO MUGUMU

Imewekwa: February 25th, 2020

Leo tarehe 25/02/2020 Mamlaka ya mji mdogo Mugumu imezindua baraza lake jipya la wajumbe tangu  kukamilika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019. Mkutano huu wa uzinduzi umefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti ambapo sambamba na uzinduzi huo kuliambatana  na shughuli za uapaji wa viapo kwa wajumbe wa viti maalumu, uchaguzi wa mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo, uundaji wa kamati mbalimbali za kudumu na uchaguaji wa wenyeviti wa kamati hizo pamoja na upokeaji wa taarifa ya utendaji na uwajibikaji wa Mamlaka ya Mji mdogo kwa kipindi cha Julai - Disemba 2019.

Baadhi ya wajumbe wa baraza wakisikiliza mkutano

Katika Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo, Ndugu Chacha Charles Ally ameibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo kwa kura Thelathini na mbili (32) kati ya kura Thelathini na mbili (32) zilizopigwa na wajumbe wa baraza hilo aidha Ndugu  Mikadady Idd naye ameibuka mshindi wa kiti cha Makamu Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo kwa kura Thelathini na mbili (32) kati ya kura Thelathini na mbili (32) zilizopigwa na wajumbe wa baraza hilo.

Ndugu Chacha Charles Ally Mwenyekiti Mteule wa Baraza la wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo Mugumu mara baada ya kukabidhiwa kiti

Taarifa aliyoiwasilisha msimamizi wa uchaguzi huo ambaye ni Katibu Tawala Wilaya ya Serengeti Bwana Cosmas Quamara amesema kuwa jumla ya kura 32 zilipigwa toka kwa wajumbe 32 huku kukiwa hakuna kura iliyoharibika kwa nafasi zote mbili

"Ndugu Chacha ameshinda kwa kura zote 32 hivyo namtangaza kuwa Mwenyekiti wa Baraza la wajumbe wa mamlaka ya Mji mdogo wa Mugumu na kwa upande wa nafasi Makamu Mwenyekiti Ndugu Mikadady ameshinda kwa kura zote 32 hivyo namtangaza kuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu " alisema Ndugu Quamara

Ndugu Mikadady Idd Makamu Mwenyekiti Mteule wa Baraza la wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo Mugumu

Wakati huo huo Ndugu Quamara amewapongeza wajumbe wote waliochaguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 24, 2019 na amewataka kuwa wahakikishe wanawatumikia wananchi wa maeneo yao katika kuleta maendeleo ya wananchi hao.

Aidha Mh. Juma Porini ambaye ni Diwani wa Kata ya Natta na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti akitoa neno la salamu katika mkutano huo amewahasa wajumbe wote waliochaguliwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa kutoa huduma kwa wananchi bila malipo yoyote na kuunga juhudi za Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli za kuleta maendeleo kwa wananchi.

Pia Mh. Porini amewataka viongozi hao kuwa mfano wa kuigwa kwa wananchi wanao wahudumia kwa uadilifu na maadili pamoja na ushiriki wa shughuli mbalimbali za kijamii.

Wajumbe wa viti maalumu wakila kiapo cha uadilifu

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Bw. Wambura Sunday amewasihi wateule hao kutobwetaka na ushindi mnono walioupata na badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii ikiwemo usimamiaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti