• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BENKI YA AZANIA SERENGETI YATETA NA WANAWAKE ,MKOPO HODARI MKOMBOZI KWAO

Imewekwa: July 17th, 2023



Benki ya Azania Tawi la Serengeti katika kuhakikisha inamuinua mwanamke kiuchumi imezindua rasmi akaunti ya mwanamke Hodari ambayo itamuwezesha mwanamke kupata mkopo wenye riba nafuu kwa ajiri ya kuwainua wanawake wajasiriamali wilayani Serengeti.

Akizungumza katika uzinduzi wa akaunti hiyo meneja wa Azania bank Serengeti  Bi.Elizabeth Koboko amesema ‘’ baada ya kugundua kuwa wanawake wengi nchini wanapata changamoto ya kupata mikopo,benki ya Azania imeamua kuja na akaunti ambayo itamuwezesha mwanamke kupata mkopo kuanzia laki 2 Hadi milioni 500 wenye riba ya asilimia moja tu,kwa mwezi ili kuwainua wanawake wote nchini kiuchumi.

Koboko ameongeza kuwa adhima ya benki ya Azania ni kuwainua wananchi wote kiuchumi hivyo benk hiyo imeamua kuanza kutoa huduma hiyo sambamba na kutoa elimu ya kifedha kwa wanawake hao.


"Benki ya Azania baada ya kugundua kuwa wanawake wengi wanachangamoto ya kupata mikopo na kuogopa kuweka fedha zao benki kwa kuogopa Makato makubwa,  benki ya Azania imekuja na akaunti ambayo inafunguliwa bure hata anapotoa fedha yake katika akaunti hii ni bure ndio maana Benki ya azania imemrahisishia mwanamke kupitia akaunti hii ili apate sifa za kukopesheka" alisema Koboko
Kwa upande wake Katibu tawala wa wilaya ya Serengeti Angella Marko amewataka wanawake wote kuchangamkia fursa hiyo iliyotolewa na benki ya azania kwa kubuni miradi mbalimbali itakayowawezesha kukopesheka na kurejesha fedha hizo kwa wakati.

Aidha Bi.Angella ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo inajitoa katika jamii kwa kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia S.Hassan katika kuwakwamua wananchi wote kiuchumi.



"Tusaidianeni wanawake katika vikundi ili tuweze kunufaika na mkopo huo ili tuweze kuwa na nguvu kiuchumi kwani mwanamke akiwa na uchumi katika jamii hata manyanyaso hupungua" alisema Angella

Nao baadhi ya wanawake wa wilaya ya Serengeti wameishukuru benki ya azania kwa kuja na huduma hii kwani itawafanya wao kuinuka kiuchumi na kuwashauri wanawake wezako kuchangamkia fursa hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI SERENGETI DC. November 17, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI PENDEKEZWA WA VITUO WATAKAOFANYA KAZI KATIKA ZOEZI LA UCHAGUZI MKUU TAREHE 29 OKTOBA, 2025. October 21, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. October 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA September 16, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • GRUMETI FUND YAJIVUNIA KUWA CHACHU YA MABADILIKO CHANYA KWA VIJANA ZAIDI YA ELFU 18 MKOANI MARA.

    November 14, 2025
  • KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA NGUVU YA UTEKEKEZAJI WA MRADI WA MAJI SERENGETI.

    September 13, 2025
  • RC MTAMBI, AWAKARIBISHA WANANCHI KWENYE MAADHIMISHO YA MARA DAY.

    September 11, 2025
  • SEMINA YA SIKU TATU KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA SERENGETI YAHITIMISHWA RASMI.

    August 06, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti