• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BENKI YA AZANIA SERENGETI YATETA NA WANAWAKE ,MKOPO HODARI MKOMBOZI KWAO

Imewekwa: July 17th, 2023



Benki ya Azania Tawi la Serengeti katika kuhakikisha inamuinua mwanamke kiuchumi imezindua rasmi akaunti ya mwanamke Hodari ambayo itamuwezesha mwanamke kupata mkopo wenye riba nafuu kwa ajiri ya kuwainua wanawake wajasiriamali wilayani Serengeti.

Akizungumza katika uzinduzi wa akaunti hiyo meneja wa Azania bank Serengeti  Bi.Elizabeth Koboko amesema ‘’ baada ya kugundua kuwa wanawake wengi nchini wanapata changamoto ya kupata mikopo,benki ya Azania imeamua kuja na akaunti ambayo itamuwezesha mwanamke kupata mkopo kuanzia laki 2 Hadi milioni 500 wenye riba ya asilimia moja tu,kwa mwezi ili kuwainua wanawake wote nchini kiuchumi.

Koboko ameongeza kuwa adhima ya benki ya Azania ni kuwainua wananchi wote kiuchumi hivyo benk hiyo imeamua kuanza kutoa huduma hiyo sambamba na kutoa elimu ya kifedha kwa wanawake hao.


"Benki ya Azania baada ya kugundua kuwa wanawake wengi wanachangamoto ya kupata mikopo na kuogopa kuweka fedha zao benki kwa kuogopa Makato makubwa,  benki ya Azania imekuja na akaunti ambayo inafunguliwa bure hata anapotoa fedha yake katika akaunti hii ni bure ndio maana Benki ya azania imemrahisishia mwanamke kupitia akaunti hii ili apate sifa za kukopesheka" alisema Koboko
Kwa upande wake Katibu tawala wa wilaya ya Serengeti Angella Marko amewataka wanawake wote kuchangamkia fursa hiyo iliyotolewa na benki ya azania kwa kubuni miradi mbalimbali itakayowawezesha kukopesheka na kurejesha fedha hizo kwa wakati.

Aidha Bi.Angella ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo inajitoa katika jamii kwa kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia S.Hassan katika kuwakwamua wananchi wote kiuchumi.



"Tusaidianeni wanawake katika vikundi ili tuweze kunufaika na mkopo huo ili tuweze kuwa na nguvu kiuchumi kwani mwanamke akiwa na uchumi katika jamii hata manyanyaso hupungua" alisema Angella

Nao baadhi ya wanawake wa wilaya ya Serengeti wameishukuru benki ya azania kwa kuja na huduma hii kwani itawafanya wao kuinuka kiuchumi na kuwashauri wanawake wezako kuchangamkia fursa hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI July 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MAMLAKA YA MJI MDOGO SERENGETI LAZINDULIWA LEO.

    July 10, 2025
  • TSC SERENGETI YAENDESHA MAFUNZO ELEKEZI KWA WALIMU WAPYA 89.

    July 09, 2025
  • DAS MASIKO AKABIDHIWA OFISI.

    July 04, 2025
  • DC ANGELINA AKABIDHIWA OFISI

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti