• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ZAIDI YA BILIONI 14.268 KUTUMIKA KUTENGENEZA BARABARA SERENGETI

Imewekwa: March 2nd, 2023




BARAZA la madiwani wa halmashauri ya Serengeti wamepitisha Rasmu ya mpango wa bajeti ya matengenezo ya barabara ya shilingi zaidi ya bilioni 14.268.

Madiwani hao wamepitisha bajeti hiyo kwenye kikao cha baraza la madiwani la kupitisha bajeti ya TARURA kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo kwa ajili ya matengenezo ya barabara,ujenzi wa madaraja,Makalavati na mitaro ya barabara.

Kaimu Meneja wa wakala wa barabara za mjini na vijijini (TARURA ) Mhandisi Charles Marwa akitoa taarifa ya rasmu ya bajeti hiyo alisema katika ukarabati wa barabara na usimamizi zitatumika shilingi milioni 835.7, maendeleo kutoka mfuko wa barabara bilioni 8.183, maendeleo ya bajeti (fedha za jimbo) milioni 500,fedha za maendeleo kutokana na tozo ya mafuta milioni 1 na fedha za maombi maalum kwa ajili ya miradi iliyofanyiwa usanifu kwa madaraja saba na km 2.7za lami kwa shilingi 3.750 bilioni.

Mhandisi Marwa alisema miongoni mwao changamoto ambazoTARURA wanakutanazo wakati wa utekelezaji wa miradi ni pamoja na uharibifu wa miundombinu ya barabara kwa baadhi ya maeneo kutokana na shughuli za binadamu hasa kilimo, ufugaji na mahitaji halisi ya kazi ikilinganishwa na ukomo wa bajeti ya inayotolewa kutoendana.

Nyingine ni pamoja na kutokuwa na ofisi hali inayopelekea kuendelea kupanga kwenye jengo la mtu binafsi , upungufu wa vitendea kazi ,mvua zinazonyesha misimu miwili kwa mwaka zinasababisha kufanya uharibifu wa miundombinu ya barabara mara kwa mara na magari makubwa yenye uzito wa zaidi ya tani 10 yanayopita kwenye barabara.

Amesema hatua walizochukua kuhakikisha wanatatua changamoto hizo watajenga mitaro ya maji, kuweka vigingi vya kulinda eneo la hifadhi ya barabara na kutoa elimu kwa wananchi juu ya kulinda barabara na kutoa elimu ya katazo la sheria ya barabara na kuchukua hatua kwa kuwakamata magari yanayokiuka sheria hiyo ambapo ameviomba vyombo vya dola viwasaidie pindi watakapohitaji ushirikiano wao.

Licha ya madiwani hao kupitisha bajeti hiyo walisema katika bajeti ya mwaka 22/23 baadhi ya barabara nyingine katika maeneo ya kata zao sio nzuri na kumuomba Mhandisi Marwa aweze kuwafikia na kuweza kuziingiza kwenye mpango wa matengenezo ya barabara.

Diwani wa kata ya Manchira Joseph Kitanana amemuomba pia Mbunge wa jimbo la Serengeti Amsabi Mrimi kwenda kulipeleka suala hilo la bajeti kwani wamekuwa wakipitisha bajeti mara kadha lakini wanaletewa fedha pungufu hali inayopelekea miradi mingi kutofikiwa kwa wakati.

Mbunge Mrimi amewashauri kuingiza baadhi ya barabara katika Wakala wa barabara Mkoa(TANROADS) ambapo ametolea mfano barabara za Tabora B-Burunga na Kenyana B -Gantamome na kumuomba Mhandisi Marwa kuweza kushirikiana nae ili kufanikisha jambo hilo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA YA UELIMISHAJI RIKA JUU YA VVU NA UKIMWI November 11, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WAIOMBA TANAPA KUGUSA KATA ZOTE SERENGETI KIUWEKEZAJI

    March 02, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI 2023

    February 28, 2023
  • ZAIDI YA BILIONI 14.268 KUTUMIKA KUTENGENEZA BARABARA SERENGETI

    March 02, 2023
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI, NA MIPANGO IMETEMBELEA NA KUKAGUA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA SHULE YA SEKONDARI NYICHOKA

    February 18, 2023
  • Angalia zote

Video

DKT.MASHINJI ASITISH A SHUGHULIZA UCHIMBAJI KOKOTO KUFUATIA KIFO CHA MCHIMBAJI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti