• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 WILAYANI SERENGETI WATAKIWA KUTUMIA FEDHA HIZO KUJIINUA KIUCHUMI NA SI VINGINEVYO.

Imewekwa: December 6th, 2024

Wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu halmashauri ya Wilaya ya Serengeti wametakiwa kutumia mikopo hiyo kujiinua kiuchumi kama lilivyo lengo la Serikali na si kuitumia kufanya starehe kwani kufanya hivyo watashindwa kurejesha mikopo hiyo.


Akizungumza na wanufaika wa mikopo hiyo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi kwa vikundi vya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu, Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mhe. Kemirembe Lwota amesema lengo la Serikali ya awamu ya Sita ni kuhakikisha inawainua wananchi wake kiuchumi hivyo uwepo wa mikopo ya asilimia 10 utumike kutimiza azma ya Serikali katika kuwapa maisha bora wananchi huku akisisitiza wanufaika hao kurejesha mikopo hiyo kwa wakati.

"Msigawane fedha hizi Kwa matumizi yenu binafsi bali zitumieni kulingana na maandiko mradi yenu, na nyie ambao mmefanikiwa kupata mikopo hii onesheni kwa vitendo kuwa mikopo hii inamanufaa na boresheni maisha yenu kupitia biashara". Alisema Mhe. Kemirembe.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Ndg. Mujibu Babara amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kukumbuka viapo walivyoapa wakati wa kuchukua mikopo hiyo huku akiwataka kuzingatia nidhamu ya fedha ili waweze kurejesha kwa wakati mikopo hiyo kama kanuni zinavyosema.

"Bila nyingi kurejesha hakuna namna ambayo wengine wataweza kukopeshwa, hivyo rejeaheni ili wengine waweze kukopeshwa" alisema Babara.

Nao baadhi ya wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 wameishukuru Serikali ya awamu ya Sita Kwa kurudisha mikopo hii huku wakiaidi kutumia fedha hizo kujiinua kiuchumi kwa kufanya biashara zenye tija jambo litakalowawezesha kurejesha mikopo hiyo Kwa wakati.

Kwa awamu ya kwanza ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10, Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti imetenga kiasi cha shikingi milioni 360,000,000/= ambapo Vikundi 53 vimenufaika na fedha hizo za awamu ya kwanza ya utoaji wa mikopo hiyo ambayo haina riba.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti