• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI SERENGETI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUPINGA VITENDO VYA KIKATILi

Imewekwa: December 5th, 2022


Wananchi wilayani Serengeti   wameendeela kuelimishwa na kutakiwa kuwa mstari wa mbele katika  kupiga vita vitendo vyote vya kikatili vinavyofanyika katika jamii zikiwemo  ndoa za utotoni ,ukeketaji Ikiwa ni siku 16 za kupinga vitendo vya kikatili nchini Tanzania iliyoanza  kuanzia tarehe 25 Novemba hadi 10 disemba  2022.


Akizungumza wakati wa utoaji wa mafunzo hayo kwa walengwa wa TASAF waliojiotokeza afisa maendeleo ya jami wilaya ya Serengeti Bi. Josepha Gurti  amewasisitiza wananchi hao kuwa mstari wa mbele katika kutoa tarifa katika vyombo vya usalama watapoona au kusikia vitendo vya kikatili vinavyoendelea katika Jamii ili kuondokana kabisa na vitendo hivyo vya kikatili ambavyo vimekuwa na athari kubwa kwa wanaotendewa haswa watoto wa kike.

Mwaka huu ni mwaka wa ukeketaji katika  wilaya ya serengeti  na mengine wawezezaaji wametumia warsha hiyo kuwataka wananchi hao kutojihusisha na vitendo hivyo vya ukeketaji sambamba na  kutoa taarifa iwapo  vitendo hivyo vitafanyika ili hatua za kiusalama ziweze kuchukulia.

Pia wanufaika hao wa mpango wa TASAF Wameendelea kukumbushwa kuwa na namba za NIDA ili kuwasaidia akupokea ruzuku zao kwa njia za kimtandao ambao ni njia iliyodhibitika kuwa bora na salama Zaidi,Wanufaika hao pia wamefundishwa kuhusu ajira za muda ambazo zitawasaidia kujikomboa kiuchumi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA YA UELIMISHAJI RIKA JUU YA VVU NA UKIMWI November 11, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HAFLA YA KUPEANA MKONO WA KHERI KWA WAKUU WA IDARA WALIOHAMA SERENGETI

    February 03, 2023
  • SERENGETI YATOA MIKOPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA MILIONI 136/-

    January 13, 2023
  • WANANCHI SERENGETI WAHAMASIKA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    December 31, 2022
  • UVCCM SERENGETI YAPANDA MITI KITUO CHA AFYA

    December 28, 2022
  • Angalia zote

Video

KAMATI YA ALAT MARA YAVUTIWA NA MRADI WA TANKI LA KUVUNIA NA KUHIFADHIA MAJI MACHINJIONI/SERENGETI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti