• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAJUMBE WA ALAT MARA WAVUTIWA NA MRADI WA TANKI LA KUVUNIA NA KUHIFADHIA MAJI MACHINJIONI SERENGETI

Imewekwa: August 11th, 2022

     Kamati ya Jumuiya ya Tawala za mitaa (ALAT) Mkoa wa Mara wametembelea na Kukagua Mradi wa Ujenzi wa Tanki la Kuvunia na kuhifadhia Maji la Lita elfu kumi katika machinjio ya Mugumu wilayani Serengeti.

Mradi huu Ni miongoni mwa miradi iliyopangwa kutekelezwa na Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kupitia Idara ya mifugo na uvuvi kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa kutumia mapato ya ndani.

Mradi  huu ulitengewa Kiasi Cha Tsh.8,220,000/= ambapo  hadi sasa umetumia kiasi cha Tsh.7,925,524.8/= Mradi na umekamilika na upo tayari kutumika.kiasi kilichobaki ni Tsh.294,475.2/=

                    Mradi huu ulianza kutekelezwa tarehe 09.04.2022 shughuli mbalimbali ziliweza kufanyika kuanzia  kuanza hadi kukamilika kwa mradi huu,ikiwemo uchaguzi wa eneo la mradi.

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Mara Mhe.Daniel kamote ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Serengeti kwa kupeleka 40% kwenye miradi ukiwemo mradi wa wa ujenzi wa tanki  la  kuvunia na kuhifadhia maji  katika manjio ya Mugumu.,Pia amempongeza afisa mifugo wilaya ya Serengeti Bi.Rehema Koka  kwa ubunifu wa uibuaji wa Mradi huu pamoja usimamizi wa mradi huo.

‘’Machinjio na maji na vitu ambavyo haviwezi kutengana,endeleni kuhakikisha usafi katika eneo   maeneo haya,hata mimi nimejifunza kitu na mradi huu ni mfano wa kuigwa ‘’alisema Mhe.Chomote

Uwepo wa  Mradi huu utasaidia upatikanaji wa maji ya uhakika katika machinjio hii pamoja na kuimarika kwa usafi katika eneo hili la machinjio hivyo kuepuka mlipuko wa magonjwa na adha mbalimbali.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI July 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DAS MASIKO AKABIDHIWA OFISI.

    July 04, 2025
  • DC ANGELINA AKABIDHIWA OFISI

    July 04, 2025
  • DC SERENGETI AAPISHWA RASMI.

    July 03, 2025
  • WADAU WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWA KUZINGATIA MIONGOZO YA KILIMO CHA ZAO LA TUMBAKU ILI KUPATA TIJA YA ZAO HILO.

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti