• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WADAU WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWA KUZINGATIA MIONGOZO YA KILIMO CHA ZAO LA TUMBAKU ILI KUPATA TIJA YA ZAO HILO.

Imewekwa: June 17th, 2025

Wadau wa zao la tumbaku Mkoani Mara wametakiwa kuzingatia kikamilifu miongozo na kanuni za kilimo cha zao hilo ili kufikia lengo la kuongeza uzalishaji na kuboresha hali ya wakulima wa zao hilo.

Hayo yamezungumzwa Leo Jumanne 17,2025 na Mkuu wa Wilaya ya Rorya Dkt. Khalfan Haule, wakati akizungumza katika mkutano wa kwanza wa wadau wa zao la tumbaku uliowaleta pamoja wakulima, wanunuzi, wawakilishi wa serikali, na taasisi za kifedha kwa lengo la kuboresha uzalishaji, masoko, na ustawi wa wakulima wa zao hilo katika kutafuta suluhu ya changamoto zinazokabili sekta ya kilimo cha tumbaku katika Mkoa wa Mara uliofanyika katika ukumbi wa Kisare Wilayani Serengeti.

Akizungumza katika mkutano huo Dkt. Haule amesisitiza kuwa mafanikio katika sekta ya tumbaku yanategemea sana kufuata taratibu za ulimaji na uvunaji wa zao hilo ili kuleta manufaa makubwa kama ilivyokusudiwa.

"Serikali imeweka fedha nyingi kataka ruzuku ya zao hili hivyo ni muhimu sana kwetu kuhakikisha tunasimamia miongozo ya kitaalamu ya kilimo cha tumbaku Kuanzia upandaji, utunzaji, uvunaji, hadi ukaushaji, kila hatua inahitaji umakini ili kupata tumbaku yenye ubora inayokidhi viwango vya masoko ya ndani na nje." alisema Dkt. Haule


Ameongeza kuwa kuzingatia kanuni hizo kutasaidia kuepusha hasara, kupunguza magonjwa ya mimea, na hatimaye kuongeza mavuno kwa ekari, jambo litakalowezesha wakulima kunufaika zaidi na jasho lao huku akipiga vikaoi tabia ya utoroshaji wa tumbaku kuelekea nchi jirani

Aidha Dkt. Haule  amewataka wanunuzi wa tumbaku na taasisi zinazotoa pembejeo kuhakikisha wanatoa elimu sahihi na endelevu kwa wakulima.

Awali akifungua mkutano huo Mwenyekiti wa bodi ya tumbaku mkoa wa Mara Ndg. Momanyi Range ameomba ushirikiano baina ya serikali, wakulima na wataalam ili zao la tumbaku liweze kuwa na tija na pande zote.

Mkutano wa wadau wa zao la tumbaku umehudhuriwa na wawakilishi kutoka bodi ya tumbaku, benki mbalimbali, viongozi wa wilaya zote za Mkoa wa Mara zinazolima tumbaku, na wakulima kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Mara.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WADAU WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWA KUZINGATIA MIONGOZO YA KILIMO CHA ZAO LA TUMBAKU ILI KUPATA TIJA YA ZAO HILO.

    June 17, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA PARK NYIGOTI SERENGETI WANUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUTOKA GRUMETI FUND.

    June 13, 2025
  • GRUMETI FUND YAENDELEA KUGUSA MAISHA YA VIJANA WA KIKE NA KIUME WILAYANI SERENGETI.

    June 04, 2025
  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti