• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Shilingi Bilioni sita kuziunganisha Serengeti na Tarime

Imewekwa: January 18th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inayo fedha kiasi cha bilioni sita za kitanzania katika ujenzi wa daraja la mto mara linalojengwa katika mpaka wa Wilaya ya Serengeti na Tarime.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mheshimiwa Marwa Ryoba Mara baada ya kuwasili Wilayani Serengeti akitokea Wilaya ya Tarime

Mheshimiwa Majaliwa amsema hayo leo tarehe 18 januari 2018 wakati akiwa katika ziara ya kikazi katika Mkoa wa Mara alipokuwa anaingia katika Wilaya ya Serengeti akitokea Wilaya ya Tarime ambako Mto Mara hutenganisha Wilaya hizo.

“Tunatarajia ifikapo mwezi wa tatu mwaka huu (2018) daraja hili litakuwa limeshakamilika hivyo kurahishisha huduma za mawasiliano kati ya wilaya hizi kwa ufanisi zaidi "alisema Mheshimiwa Majaliwa.

Kukamilika kwa daraja hilo lililoanza kujengwa mwezi wa tatu (3) mwaka 2017  na mkandarasi Gemen Engineering kunaashiria ujio wa barabara ya lami kutoka Tarime mpaka Mji wa Mugumu Serengeti na kuondoka kero ya muda mrefu ya wakazi wa Mji wa Mugumu Serengeti wanaokosa huduma muhimu ya mawasilano ya barabara ya lami inayounganisha na Wilaya hiyo na zingine.

Mheshimiwa Majaliwa alisema kuwa baada ya ujenzi wa daraja kukamilika, serikali itaanza mara moja mchakato wa ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka tarime mpaka Mji wa Mugumu. Waziri Mkuu hakusita kuzungumzia kero ya muda mrefu juu ya barabara ya lami inayounganisha Mkoa wa Mara na Arusha kupitia Wilaya ya Serengeti na Ngorongoro na kusema “kwa muda mrefu sasa serikali imekuwa katika mazungumzo na wadau wa maendeleo wa kimataiafa  juu ya ujenzi wa barabara ya lami katika hifahdi ya taifa ya Serengeti ambayo ni miongoni wa vivutio vya dunia na kulingana na makubaliano tuliyowekeana bado ipo changamoto katika fumbuzi wa jambo hili” alisema Mheshimiwa Majaliwa  na kuwataka wananchi kuwa na subira wakati serikali ikitafuta ufumbuzi wa jambo hilo.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Mheshimiwa Juma Porini wakati anawasili katika Wilaya ya Serengeti akitokea Wilaya ya Tarime.


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini wakati akiwasili Wilaya ya Serengeti akitokea Wilaya ya Tarime.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti