• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI YATENGA ZAIDI YA BILIONI 1.5 KWA AJILI YA UJENZI UWANJA WA NDEGE WA SERENGETI.

Imewekwa: February 27th, 2025

SERIKALI imetenga zaidi ya Bilioni 1.3 kwa ajili ya ujenzi uwanja wa ndege wa Serengeti mkoani Mara ambapo kukamilika kwake kunatajwa kukuza uchumi wa Wakazi wa Serengeti.


Hayo yamebainishwa jana Jijini Dar es Salaam wakati utiaji saini baina Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini(TAA) na Kampuni ya Saba Engineering Private Campany kwa ajili ya upembuzi yakinifu juu ya uwanja huo.


Akizungumzia Mkataba huo,Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege nchini(TAA),Abdul Mambokaleo,amesema mkataba huo wa miezi sita na kampuni hiyo itatoa ushauri n.


“Hawa wapewa miezi sita baada ya miezi sita kandarasi kukamilika watakuja na mapendekezo ya jinsi ya kujenga uwanja huu”Amesema


Mkurugenzi amesema lengo la serikali kujenga uwanja huo ni kusaidia kukuza sekta ya utalii katika mbuga za serengeti.


Kwa Upande wake,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti,Dkt . Maulid Suleiman Madeni,ameipongeza TAA kwa hatua ya kuanza ujenzi wa uwanja huo na kusema utakuwa mkombozi kwa wakazi wa eneo hilo.


Amesema wananchi wa Serengeti wategemee kupata makubwa kutokana na kukua kwa Shughuli za uchumi zitakazotokana na ujenzi wa uwanja huo.


“Watalii wote walioshuka Arusha sahivi watashuka Serengeti na baada ya uwanja huu kukamilika ndege zaidi mia moja siku za kilele zitashuka Serengeti maana hapa uchumi utaanza kukua eneo hili”


Dkt Madeni amesema uwanja huo utapelekea ofisi mbalimbali kujengwa zitapelekea watu kupata Ajira na kusaidia kujiingizia kipato.


Hata hivyo,Dkt Madeni amemshukuru Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan kwa hatua yake kutoa fedha uwanja wa ndege wa Serengeti.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti