• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERENGETI YAADHIMISHA SIKU YA WAZEE DUNIANI

Imewekwa: September 30th, 2022


 

Kuelekea kilele cha siku ya wazee Duniani ambayo huadhimishwa kila Oktoba Mosi ya Kila Mwaka,Wilaya ya Serengeti imeadhimisha kwa kutoa  elimu ya ustawi na afya kwa wazee katika Kata ya mbalimbali,Wazee wameombwa kuwa chachu ya mabadiliko na upingaji wa vitendo vya kikatili katika maeneo yao.

Akizungumza na wazee hao Afisa ustawi wa Jamii Bi.Judith Petro,amewataka wazee hao kutambua kuwa serikali ina wathamini na kuwajali ndo maana imetenga siku hii muhimu kwa ajili ya kukaa nao na kuzungumza nao mambo mbalimbali yakiwemo ya afya na ustawi.


https://youtu.be/z_lvw9grdEw


‘’Sera iliwekwa kukaa na wazee na kuzungumza nao Taifa linaamini kwamba bila wazee  tusingekuwa hapa,wazee wametutoa mbali kiuchumi,kiutamaduni,kijamii’’alisema Bi.Judy

Kwa niaba ya wazee wengine wa wilaya ya Serengeti ,wazee wa mbalibali walipata elimu ya afya juu ya maswala mbalimbali ya ustawi na afya,afisa ustawi kutoka ofisi ya ustawi wa jamii  bi.Mwajuma Machoki aliwasihi kuwa mstari wa mbele katika kupinga na kuzuia vitendo vyote vya ukatili vinavyotokea katika familia na jamii kwa kuwa wazee ni chachu ya mabadiliko chanya katika Jamii zao.

‘’Ukatili upo  unaondeka katika jamii na maeneo yetu  kuanzia ngazi ya familia na kwa jamii nzima ,ikiwemo swala la kupiga,ukekeataji .ukatili wa kingono, na hivyo kufanya watoto kukimbia makazi yao,na hii ni kutokana na wazee kufanyiwa hivyo na kutaka  watoto wao  na wajukuu kufanyiwa hivyo,’’alisema Bi.Mwajuma

Aliendelea kwa kuongeza kuwa ni muhimu wazee kutazama kwa ukaribu ukatli wa kiuchumi ambao watoto wanafanyiwa haswa katika ugawanya sawa wa rasilimali zilizopo.

Sambamba na hayo wazee pia wamekumbushwa kuchukua tahadhari juu ya magonjwa  ya mlipuko haswa ugonjwa wa Ebola ambao umetokea Nchi jirani ya Uganda,lakini pia wazee hao walipata elimu ya afya ya macho,kinywa na meno na kufanyiwa uchunguzi.

Siku hii ya wazee duniani imebebwa na kauli  mbiu i‘’ustahimilivu na mchango wa wazee ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa’’

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti