• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RC HAPI AIPONGEZA WILAYA YA SERENGETI KWA KUPATA HATI INAYORIDHISHA YA CAG 2020/2021

Imewekwa: July 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe.Ally S.Hapi, Ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kwa kupata Hati safi ya Mkaguzi mkuu wa Serikali 2020/2021, katika baraza maalumu la kupitia  Hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG.

RC Hapi amewapongeza Waheshimiwa madiwani,wataalamu na uongozi mzima wa Halmashauri ya wilaya Serengeti kwa jitihada na weledi wa kusimamia vyema miradi inayoletwa na serikali,lakini pia kutokuwepo  kwa migogoro ambayo inangeweza kupelekea kukwama kwa miradi hiyo.

Aidha ,amempongeza Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Ndg.Kivuma H.Msangi pamoja jopo lake la wataalamu kwa kusimamia vyema zoezi la ukusanyaji wa Mapato2021/2022 ambapo ukusanyaji umefikia 92% .

Mhe.Hapi amewaomba waheshimiwa Madiwani kusimama kidete katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili mapato hayo yaweze kusaidia kuleta maendeleo kwa Wananchi.

Mkuu wa Mkoa amewataka watumishi,wakuu wa idara na Vitengo kuwajibika katika nafasi zao kusimamia vyema miradi inayoletwa na serikali na kuzungumza na wananchi wakati wa kutembelea miradi hiyo kuweza kupata maoni ,aidha kuacha mara moja tabia ya kukaa ofisini.

RC Hapi amesisitiza Halmashauri kuwekeza Nguvu Zaidi katika kukusanya Mapato Zaidi haswa yKatika mahoteli yaliyopo Mbugani,wadeni ambao hawajalipa madeni na kuwafikisha katika vyombo vya dola wote watakaokwamisha au kukaidi.

Mwisho,Mhe.Hapi amegiza uongozi wa Wilaya kuhakikisha inafuta hoja zote zilizobainishwa na  Mkaguzi Mkuu wa Serikali.

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dkt.Vincent  Mashinji amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mara kwa ziara hiyo na kumuahidi kusimamia maagizo yote aliyayatoa.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Mhe.Ayub Makuruma, amempongeza RC Hapi kwa kazi kubwa anayoifanya katika Mkoa wa Mara na kumtoa hofu juu ya miradi yote inayoletwa  na iliyopo kuwa itasimimiwa kikamilifu na kwa weledi mkubwa  ili kuleta maendeleo kwa wananchi

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti