• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

PHC SERENGETI YAPANGA MIKAKATI KUKABILIANA NA EBOLA, UVIKO-19

Imewekwa: October 24th, 2022


Kamati ya afya ya Msingi (PHC) wilayani Serengeti imejiwekea mikakati mbalimbali ya kupambana na magonjwa ya milipuko ikiwemo ebola na uviko 19 ili kuifanya jamii  kuwa salama,mikakati hiyo ni pamoja na kutoa elimu na hamasa Kwa jamii juu ya kujikinga na magonjwa ya milipuko,kuwepo kwa matangazo ya kujikinga na magonjwa kwa njia za vyombo vya muziki,uhamasishaji wa nyumba kwa nyumba kwa nyumba kwa kutumia wapiga mbiu pamoja na utambuzi wa walengwa wasio chanja  chanjo ya uviko 19 kwa kila eneo la huduma  kwa kila kituo cha kutolea huduma.

Akifungua kikao hicho cha kamati ya afya ya msingi Mkuu wa wilaya ya Serengeti Dkt.Vincet mashinji   ameitaka jamii kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola na uviko 19 kwa kupata chanjo  ya uviko 19 pamoja na kukamilisha chanjo kwa wale  ambao hawajamaliza dozi chanjo ambayo inapatikana katika vituo vya kutolea huduma lakini pia kwa kampeni ya siku ya 10 ya kutembea nyumba kwa nyumba kutoa chanjo hii kuanzia  tarehe 24.10.2022 .Pamoja kuepuka mizoga ya wanyama na kuwa muingiliano nao wa karibu.

Katika kukamilisha idadi ya walengwa wa kuchanjwa  chanjo ya uviko 19 ambayo ni  asilimi 70 ya walengwa, wote idara  ya afya imeaanda kampeni ya uchanjaji ya siku 10 katika  kata zote 30 za wilaya ya Serengeti .

Mganga Mkuu wa wilaya ya Serengeti Dkt.Emiliana Donald ameiomba Jamii kujitokeza ili kupata chanjo hiyo ya uvikp 19,ambayo itatolewa nyumba kwa nyumba sambamba na kuchukua tahadhari zote  ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni na kwa kutumia vitakasa mikono.

Nae Mratibu wa chanjo wilaya  amesema ‘’tunatoa wito wa jamii kwa ambae ajapata chanjo hii ya uviko 19 ajitokeze apate chanjo  hii na wale ambao hawajakamilisha dozi wajitokeze kukamilisha dozi ili  kuwa na kinga kamili dhidi ya  ungojwa huu’’


Kampeni hii  inalenga kuinua kiwango cha uchanjaji kutoka asimilia 39.7 ambayo wilaya imefikia mpaka  mpaka asilimi 70 ya uchanjaji.AMREF,Red Cross na WFP ni miongoni mwa Mashirika yatakayokuwa bega kwa bega na wilaya ya Serengeti katika kuhakikisha lengo linafikiwa .


Kutokana na kusamba kwa ugonjwa wa Ebola kamati imeshauri jamii kupunguza safari zisiza lazima kwenda katika maeneo ugonjwa huu wa ebola upo hususa ni Uganda  lakini jamii imeshauriwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kujikinga na magonjwa mbalimbali.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti