• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mshauri wa Tasaf Ndugu Sokoro Mnubi amekamirisha zoezi la uwasilishaji wa Fedha za Kaya Masikini Tarafa ya Ngoreme pamoja na Ikorongo 19/02/2021

Imewekwa: February 19th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti leo 19/02/2021 imekamilisha zoezi la uwasilishaji  fedha kwa walengwa wa Kaya Masikini Tarafa ya Ngoreme kwenye Vijiji vya Nyamihuru,Nyamakobiti, Messaga, Nyagasense, Remung’orori na Msati.

Zoezi limefanyika vizuri bila uwepo wa malalamiko yoyote kwani wanufaika wote katika vijiji ambavyo vimetembelewa na  wawezeshaji akiwemo  Mshauri wa Tasaf Ndugu Sokoro Mnubi wamethibitisha kwamba zoezi limeenda vizuri bila malalamiko ya aina yoyote.

Katika Kijiji cha Nyamihuru  Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho Bi Happy Fanuel Mwita alithibitisha kuwa wamepokea Fedha Jumla ya Tsh 3,030,000/=  kwa ajili ya kuzigawa kwa walengwa hao ambao  jumla ya Idadi yao ni (49) ambapo alifanya mazungumzo na Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti na kumthibitishia kuwa fedha zinatumika vizuri hasa kwa kundi la Wanawake ambao wamekuwa wakizitumia kwa shughuli mbali mbali kama Ufugaji,Kilimo pamoja na Biashara lakini pia Mwenyekiti wa Kijiji hicho Ndugu David Chacha Mgendi.


                                  Happy Fanuel Afisa Mtendaji aliesimamia zoezi akiwa na Muwezeshaji Bwana Nyambita 

Baada ya maelezo hayo kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Nyamehuru na Mwenyekiti wa Kijiji hicho  ndipo Mshauri wa Tasaf  Ndugu Sokoro Mnubi alipata nafasi ya kuzungumza na wanufaika hao na kuwashauri juu ya matumizi mazuri ya fedha hizo na hasa katika kuzitumia fedha hizo pia kujiunga na Mfuko wa Afya wa CHF iliyoboreshwa ambayo inatolewa kwa Tsh 30,000/=.

                                                                    Davidi Chacha Mgendi Mwenyekiti Kijiji cha Nyamihuru

Ziara hio iliendelea mpaka katika Kijiji cha Nyagasense ambapo Mshauri wa Tasaf Ndugu Sokoro Mnubi alipokelewa na Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho Ndugu Mahitari Hunda pamoja na Mwenyekiti wa Kijiji hicho Ndugu Matiko Daniel Ngerecha ambao pia walithibitisha kwamba zoezi linaenda vizuri na ndio walikuwa wanakamilisha zoezi Majira ya Saa 7:38 Mchana ambapo pia alipata nafasi ya kuelezea changamoto za Mradi huo kwani walengwa ambao wanatokana na kundi la Wanaume wengi wao huzitumia vibaya Fedha hizo kwa kunywa pombe na tayari Serikali ya Kijiji imeshawaita na kuwaonya ili waweze kuacha tabia hizo lakini pia akachukua nafasi hio kuwapongeza kundi la akina Mama kwa matumizi mazuri ya fedha hizo ambazo zimewasaidia kujenga nyumba na kuanzisha biashara ndogondogo ambazo kwa sasa zinasaidia kuendesha familia zao.

Katika Kijiji cha Msati Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Msati Ndugu Mafuru Sagati amethibitisha kuwa wamepokea Fedha kiasi cha Tsh 3,048,000/= ambazo zimewasilishwa vizuri bila kuwepo kwa malalamiko yoyote ambapo Mwenyekiti wa Kijiji hicho Ndugu Mwita Daudi Mgendi amethibitisha kuwa fedha hizo zinatumiwa vizuri na walengwa hasa kwenye shughuli za Maendeleo.

                                                                                      Mafuru Sagati Afisa Mtendaji Kijiji cha Msati


Kijiji cha Remung’orori  kimepokea fedha kiasi cha Tsh 2,412,000/= Afisa Mtendaji wa Kata Ndugu Geofrey Innocent Mzee  ambaye ndie amesimamia zoezi hilo amethibitisha kuwa fedha hizo kwa Kjiji cha Remung’orori zinatumika vizuri na hakuna shida yoyote na kwamba wanufaika 48 kwa sasa ndio wanapokea fedha hizo.

                                                            Geofrey Innocent Mzee Afisa Mtendaji Kata Magange aliesimamia zoezi


Imetolewa 

Afisa Habari- Mahusiano

Emmanuel Isyaga Mwita

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti