• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mhe Nurdin Babu afanya ziara ya kukagua Miradi ya Maji 09/02/2021

Imewekwa: February 10th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mheshimiwa Nurdini Babu 09/02/2021 amefanya ziara ya Kukagua Miradi ya Maji ndani ya Wilaya ya Serengeti akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Ayub Mwita Makuruma ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Busawe na Kaimu Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Ndugu Wilfred Mwita ambae nae pia aliambatana na Wataalam wake toka Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti akiwemo DPLO Martin Mlelema.

Katika ziara hio Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Babu alianzia kukagua Ujenzi wa Chujio la Maji kwenye Bwawa la Manchira pia wamekagua ujenzi wa Mantanki makubwa ya Maji Kijiji cha Kitunguruma ambao umegharimu Tsh Milion 235 mradi ambao utahudumia wananchi zaidi ya 6000.

Pia ziara hio ilifika katika chanzo cha Maji cha Nyamitita Kata ya Ring'wani, na kukagua mradi mwingine kwenye Kijiji cha Nyamitita sehemu ambayo ilimpa fursa Mhandisi wa Maji toka idara ya Maji Muguwasa kuainisha baadhi ya Miradi iliyotengewa fedha.

Gusuhi 235,500,000/=

Maburi 335,500,000/=

Mbalibali 136 Milion.

Monuna 235,500,000/=

Nyambureti 335,000,000/=

Rung'abure 79,900,374.94/=

Makundusi 137,584,685.89/=

Mhandisi pia alielezea changamoto ambazo zinakwamisha wananchi kukosa huduma ya Maji na kutolea mfano wakazi wa Rung'abure ambao wameharibu Generator kwa kuweka Dizel ambayo ilichanganywa na Maji.

Pia alitibitisha juu ya Malipo ya Umeme ambayo tayari wameshalipa Shirika la Tanesco kwa ajili ya kufunga umeme kwenye vituo vyote vyenye miradi ya Maji kiasi cha Tsh 18 milion tayari zimelipwa kukamilisha kazi hio.

Kupitia miradi hio ya Maji Mhandisi wa Maji alithibitisha kuwa Kijiji cha Kebanchancha tayari wametengewa fedh Tsh 80 Milion kwa ajili ya Mradi Mpya wa Maji ambapo pia alitaja vijiji vingine vitakavyo nufaika kuwa ni Kijiji cha Majimoto pamoja na Kijiji cha Nyagansense.

Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Nurdin Babu pamoja na timu walihitimisha ziara yao kwa kutembelea Mradi wa Maji Kijiji cha Makundusi na kukagua Mradi huo ambao umefikia 90% ambapo Mhandisi wa Maji alithibitisha kukabidhi mradi huo kwenye Wiki ya Maji.

Imetolewa
Afisa Habari-Mahusiano
Emmanuel Isyaga Mwita
Halmashauri ya Wilaya Serengeti
tembelea:- www.serengetidc.go.tz
instagram: halmashauriwilaya

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti