• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mbunge wa CCM Vijana Taifa Mara Alivyowagusa wenye Mahitaji Maalumu Serengeti

Imewekwa: August 15th, 2022


Mbunge wa  chama cha mapinduzi vijana viti maalumu taifa mkoa wa Mara Mhe.Juliana Masaburi  amezikumbusha halmshauri kuwa mikopo inayotolewa inahusu wananchi wote na si baadhi ya watu.

Akizungumza na  viongozi wa chama na serikali waliofika katika ziara yake ya kutembelea  Makundi maalumu yanayofaidika na mikopo ya 10% wilayani Serengeti amewataka viongozi wa halmashauri kutoa mikopi hiyo kwa usawa.

‘’Mikopo itoke kwa wote,wote ni wananchi wa Tanzania wote wanafanyabiashara na wote wanalipa Kodi hii mikopo inatokana na mapato ya Halmashauri’’ alisema Mhe Juliana

Aidha,amezungumzia pia juu ya baadhi ya vijana ambao si waaminifu katika kurejesha mikopo wanayoipata lakini pia kutumia mikopo kwa madhumuni tofauti na yaliyokusidiwa  ambayo ni kujikuza kiuchumi na kuweza kujitegemea.Ametoa wito kwa wazazi na walezi kutoa elimu kwa vijana wao juu ya matumizi sahihi ya mikopo hiyo ii kuweza kujitegemea na kuwanufaisha.

Amendelea kuikumbusha wilaya Serengeti kuongeza kiwango cha mkopo iliyotengwa  kwa kundi la watu wenye ulemavu lakini pia amewakumbusha watu wenye ulemavu kuwa wanaweza kukopa mikopo hiyo hata kwa mtu binafsi kwa kufata utaratibu.

Sanjari na hayo amezungumzia juu ya njia ya kisasa ya kupokea mikopo yani kwa njia ya mtandao ili kuondoa changamoto mbalimbali za kupokea pesa mkononi.

Mhe Juliana amendelea kuhamasisha juu ya ushiriki katika sensa ya watu na makazi kwa watu wenye ulemavu ili kupata takwimu sahihi ambayo itasaidia serikali katika  katika mipango ya Maendeleo na kujua kiasi ambacho kitapelekwa katika eneo husika.Amewataka wazazi kutokuwaficha  watu wenye ulemavu.

Akiwa ziarani wilayani Serengeti amechangia Mifuko 50 ya saruji katika ujenzi wa zahanati ya Geitasamo iliyopo nyamerama,ametoa mchango huo wa saruji ili kusaidia zahanati hiyo ambayo itagharimu kiasi chaTsh.Million 24 hadi kukamilika kwake na kuwaomba wadau wa maendeleo mkoani mara kuendelea kumuunga mkono jitihada za Mhe.Rais samia suluhu hassani za kuwaletea Watanzania maendeleo.Lakini pia ametoa mafuta kwa ajili ya Albino ili kukinga ngozi zao zisiweze kudhuriwa.Pia amekabidhi vikundi  5 vya wajasiriamali kiasi cha Tsh 200,000/=

Amewaomba watu wenye ulemavu kutojitenga  na kushiriki na kushughuli  mbalimbali pamoja na kuwania nafasi mbalimbali za  uongozi.

Nae katiu wa Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi wilayani serenget Ndg.Ally ally ameimshukuru Mhe.mbunge kwa kufanya ziara katika wilaya ya Serengeti.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti