• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MADIWANI SERENGETI WAUNGANA NA DKT SAMIA KUHIMIZA,KUKUZA UTALII

Imewekwa: December 14th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Mhe.Ayub Makuruma (Diwani wa kata ya Busawe) akiwa ameambata na Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti na Baadhi ya wataalamu wamefanya ziara ya kutembelea  hifadhi ya serengeti kwa nia ya kuhimiza utalii na utunzaji wa mazingira.

Akizungumza katika shule ya Mazingira  Mhe makuruma amewakumbusha madiwani kuwa ziara hiyo inalengo la kujionea shughuli za kiuhifadhi na kitalii  zinazofanywa na Kampuni ya Grumeti reserves sambamba na kuhimiza utalii  kwa kuweza kujionea wanyama mbalimbali katika hifadhi hiyo kubwa ya Serengeti.

‘’Madiwani hawa ni wawakilishi wa wananchi kutoka katika  Kata 30, kwahiyo ujumbe na kazi mnazozifanya zitawafikai wananchi kupitia madiwani hawa,lakini pia naamini mahusiano yatakwenda kuwa mazuri Zaidi kwa sababu wananchi hawa watajionea na kutambua kazi gani mnazifanya’’alisema makuruma

Aliongeza pia kutokana na ziara hiyo itakuwa chachu ya kuwahimiza wananchi kutunza mazingira na kuachana na vitendo hatarishi vinatavyoopelekea hifadhi hiyo kuathirika.


Kwa upande wa TAWA wameomba madiwani hao kuwiwa na kuchukua hatua za kiuhifadhi  na kulinda mazingira ya hifadhi kwa ajili ya ustawi ya Jamii na kupiga vita vitendo vya kijangili.

Aidha,Madiwani hao wamemshukuru mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Mhe.Ayub Makuruma  kwa kuona umuhimu wa kutembelea hifadhi hiyo ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono Juhudi za Mhe.Rais  Dkt.Samia Suluhu Hassan za kuhimiza utalii,lakini  pia kupata nafasi ya kujifunza kazi kubwa anayoifanya muwekezaji huyo katika hifadhi ya Serengeti.

Madiwani   wamepata nafasi ya kutembela vitalu  vya uwindaji na utalii ambavyo muwekezaji wake  Kampuni ya Grumeti Reserves imewekeza amabavyo  ni  Ikorongo,Grumeti na IKONA WMA.Pori la akiba la Ikorongo na IKONA WMA lipo Wilayani Serengeti lakini Kitalu cha Grumeti kuna upande lipo Wilaya ya Bunda na upande lipo katika wilaya ya Serengeti.

Uwekezaji huo umekuwa na manufaa makubwa kwa Wananchi wanaoishi kwatika wilaya ya Serengeti  ikiwemo  kusaidia katika shughuli mbalimbali za kimaendeleao,ufadhili wa masomo ambao unafanyika chini ya idara ya  maendeleo ya Jamii inayongozwa na Bi. Frida Mollel. Vile vile madiwani hao walipata nafasi  ya kushuhudia mifumo ya kisasa ya kiteknolojia za kimawasiliano,  kiusalama  dhidi ya majangili na uzuiaji wa wanyama hatarishi wanapoingia katika makazi ya binadamu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti