• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Idara ya Mali Asili na Wanyama Pori Halmashauri ya Wilaya Serengeti yafika Kijiji cha Iharara kuona Majanga yaliofanywa na Simba 14/02/2020

Imewekwa: February 15th, 2021

Kijiji cha Iharara ni moja kati ya vijiji 78 vinavyopatikana Halmashauri ya Serengeti 14/02/2021 majira ya usiku kimevamiwa na Simba na wananchi wa Kijiji hicho walitoa taarifa kwa vyombo vya Usalama pamoja na Uongozi wa Halmashauri na kisha Ofisi ya Mkurungenzi kutuma wataalam wake toka Idara ya Mali Asili na Wanyama pori kwenda eneo la tukio.


Hata hivyo baada ya kufika eneo la tukio mambo yalikuwa ni tofauti kulingana na taarifa jinsi ilivotolewa kwani Mwananchi aliepiga Simu na kusema kuwa ameuwa Simba wawili aliikana taarifa yake na kusema kuwa alitoa taarifa hiyo ya uwongo ili vyombo vya Usalama vifike kwa wakati hivyo basi katika mahojiano hayo taarifa ya uwepo wa Simba hao na tukio walilofanya la kuua Ng'ombe 1 na kujeruhi wengine wawili hakika ni la kweli utata ulionekana kwenye kusema Simba wawili nao wameuwawa Ndugu Roketi Mahega ni Mwananchi wa Kijiji cha Iharara ndie alietoa taarifa hizo za uwongo kuwa ameuwa Simba wawili.


Baada ya ukaguzi katika maeneo ya Pori la Kijiji Maafisa Usalama walijiridhisha kuwa Simba hawapo hivyo walifanya mahojiano ya kina na mtoa taarifa na kisha kumchukua kwa ajili ya kutoa maelezo zaidi Kituoni Mugumu huku wakiacha maelekezo kwa Wananchi kutoa Taarifa za Uhakika kuanzia kwa Ngazi ya Kijiji,Kata na Tarafa.

    



Imetolewa

Afisa Habari-Mahusiano

Emmanuel Isyaga Mwita

Halmashauri ya Wilaya Serengeti

tembelea:- www.serengetidc.go.tz

instagram: halmashauriwilaya

facebook : Halmashauri ya Wilaya Serengeti

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti