• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

HOSPITALI YA NYERERE DDH SERENGETI YAUNGA MKONO JITIHADA ZA WHO KUTOKOMEZA KISUKARI

Imewekwa: November 14th, 2023

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kisukari duniani kwa lengo la kuelimisha umma kuhusu ongezeko la ugonjwa huo na mikakati ya kuzuia na kudhibiti tishio lake, Hospitali ya Nyerere DDH Serengeti Mkoani Mara, imefanya huduma ya vipimo vya kisukari na shinikizo la damu bure kwa lengo la kuwafanya wananchi  kuwa na uelewa mpana juu ya magonjwa hayo na kutambua afya zao.



Dkt. Ediga Saulo ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Nyerere DDH iliyopo Wilayani Serengeti Mkoani Mara amesema  lengo la kutoa huduma hiyo bure kwa wananchi katika siku hii ni kuhakikisha jamii inakuwa na ulewa mpana juu ya kisukari na shinikizo la damu lakini pia ni kuhakikisha watu wanakuwa na tabia ya kupima afya zao mara kwa mara jambo ambalo pia limesisitizwa na shirika la Afya Duniani - WHO.



Dkt. Saulo ameongeza kuwa ili jamii iweze kupambana na kisukari ni lazima kubadili mtindo wa maisha ikiwa ni kupunguza ulaji wa kiasi kikubwa cha vyakula vya wanga na kuepuka ulaji wa chumvi na mafuta uliopitiliza sambamba na kupunguza matumiza ya pombe kupita kiasi.

"moja ya sababu zinazopolekea ongezeko la ugonjwa wa kisukari katika jamii zetu ni ulaji uliopitiliza wa vyakula vya wanga, mafuta na chumvi iliyopitiliza, matumizi ya vyakula hivi huchangia kwa kiasi kikubwa ugonjwa wa kisukari" alisema Dkt. Saulo


Dkt. Ediga Saulo Mganga Mkuu wa Hospitali ya Nyerere DDH Serengeti.

Aidha ameongeza ulaji wa mboga mboga na matunda kwa wingi na ufanyaji wa mazoezi pia ni njia nyingine zinazoweza kuinusuru jamii na ugonjwa huu wa kisukari.



Kwa upande wa wananchi wa waliopata huduma ya vipimo bure wameushukuru uongozi wa Hospitali ya Nyerere DDH kwa kulipa kipaumbele suala hili kwani awali iliwawia vigumu kupata huduma ya kupima afya zao kutokana umbali na kukosa fedha za kulipia vipimo hivyo.



Kulingana na takwimu za Shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO Watu milioni 24 wanaishi na kisukari barani Afrika na idadi hiyo inatarajiwa kufikia milioni 55 mwaka 2045 endapo juhudi za makusudi hazitachukuliwa.



Siku ya kisukari duniani huadhimishwa kila mwaka Novemba kwa lengo la kuelimisha umma kuhusu ongezeko la ugonjwa huo na mikakati ya kuzuia na kudhibiti tishio lake.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti