• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

GRUMETI FUND YAWAKUMBUSHA VIJANA WA KIUME KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA JAMII

Imewekwa: March 25th, 2023


Kampuni ya Grumeti Fund kupitia Idara ya maendeleo ya Jamiii imewakumbusha vijana wa kiume Wilayani Serengeti kutekeleza majukumu yao katika jamii zinazowazunguka.

Akizungumza katika  Kongamano la vijana wa kiume lilofanyika leo tarehe 25 Machi 2023 waliotoka shule za Sekondari Serengeti na Nyichoka Mgeni Rasmi Mwl.Rwakatare amewakumbusha vijana hao kuhakikisha wanatelekeza wajibu wao ipasavyo katika jamiii ikiwemo kuwalinda na kuwapa vipaumbele vijana wa kike sambamba na kujiisamamia ili waweze kutimiza ndoto zao.



"Vijana wa kiume tunawajibu wa kutimiza ndoto zetu,Lakini pia tunawajibu wa kuhakikisha kwamba binti unayeishi naye Katika jamii yako naye anatimiza ndoto zake,elimu unayoipata ikusaidie kuionyesha jamii ambayo unaishi nayo kwamba tunazo mila ambazo zinamkandamiza mtoto wa kike ambazo kwa sasa azisitahili’’ amesema Mwl.Rwakatare


Mwl.Rwakatare aliongeza kwa kusema  pia mabinti katika ngazi za elimu ya chini hawafanyi vizuri kutokana mikandamizo ambayo tunayo katika jamii,lakini mtu ambaye anastahili kumlinda huyo binti  ni wewe kaka yake,wewe ni jeshi linalomzunguka binti,uwe askari wake akiwa shuleni  ,nyumbani au Njiani ili tunapotakana kufikia ndoto zetu tufikie kwa pamoja’’.


Kwa upande wake Mkuu wa idara ya maendeleo ya Jamiii wa Kampuni ya Grumeti Fund Frida mollel amewasihi Vijana hao kuwasehemu ya mabadiliko chanya katika kutimiza majukumu yao
‘’Wanaume wana Nguvu Kubwa sana katika agenda ya kumuwezesha binti kufikia ndoto zake kuanzia mdogo,Mashuleni,Makazini lakini pamoja na majumbani,Tupige vita mila na desturi zisizo na tija’’

Frida ameongeza pia badala ya mtoto wa kiume na kike kushindani kusiwepo bali kuinuana ili kwenda sambamba,mkatekeleze yote mliyojifunza kwenye kongamano hili’’

Nao vijana walioshiriki katika kongamano hilo wameishukuru Kampuni ya Fund kwa  kutoa elimu na kuahidi kuwa mabalozi wazuri  na kutekeleza yote waliyoelekezwa katika kongamano hilo.


Kongamano hilo lilofanyika katika shule ya sekondari serengeti limewafikia Vijana wa kiume 416 ,ambapo Jezi na mipira kwa timu  kutoka shule za sekondari nyichoka na Serengeti zilitolewa,Aidha vijana hao walishiriki katika Michezo mbalimbali ikiwemo Mpira Miguu,kukimbiza yai kwenye Kijiko ,kukimbia kwenye viroba na Zawadi kwa washindi kutolewa.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti