• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

GRUMETI WATOA MSAADA WA VITANDA 15 KWA SHULE YA SERENGETI SEKONDARI

Imewekwa: August 3rd, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu (katikati) akipokea msaada wa vitanda 15 kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Mfuko wa Singita Grumeti Bi. Frida Mollel (kushoto)

Mfuko wa Singita Grumeti leo tarehe 3 mwezi Agosti 2017 umetoa msaada wa vitanda 15 vya deka kwa Shule ya Sekondari Serengeti iliyoko katika Kata ya Uwanja wa ndege Wilayani Serengeti kufuatia tukio la kuungua moto kwa bweni la wanafunzi shuleni hapo mwezi oktoba mwaka jana.

Akitoa msaada huo wa vitanda, Mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii kutoka Mfuko wa Singita Grumeti Bi. Frida Mollel amesema kuwa vitandahivyo 15 vyenye uwezo wa kulaza wanafunzi 30 vimegharimu jumla ya Tshs Milioni 7.3. “Sisi ni wadau wa maendeleo na tumeguswa kutoa msaada huu, na kwa sasa tumeweza kutoa vitanda hivi 15 tunaomba mvipokee” alisema Bi Frida.

Akipokea msaada huo, Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Nurdin Babu hakusita kuwapongeza Singita Grumeti kwa misaada mbalimbali wanayoitoa katika Wilaya ya Serengeti. “Grumeti ni wadau wa maendeleo, wanatoa misaada ya afya, elimu, maji na miundombinu lakini pia wanafadhili nafasi za masomo na kutoa ajira kwa wazawa” alisema Babu na kuwaomba wasisite kutoa misaada zaidi pindi inapohitajika. Aidha Babu amewaonya wanaume wanaowasumbua wanafunzi wa kike kwa kuwataka kimapenzi huku akisisitiza kuwa adhabu kali itatolewa kwa yeyote atakayehusika na vitendo hivyo.

Aidha Katika kuinua taaluma shuleni hapo, Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mheshimiwa Marwa Ryoba ambaye ni Mwalimu amejitolea kufundisha masomo ya Kemia na Bailojia katika kipindi chake cha likizo.

Mbunge wa Jimbo la Serengeti (kushoto) Mhe. Marwa Ryoba, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Bw. Juma Hamsini

Tarehe 26 mwezi Oktoba 2016 moto uliunguza jengo la bweni la wanafunzi wa kike katika shule ya Sekondari Serengeti na kuteketeza mali pamoja na nyaraka za wanafunzi zilizokuwa katika bweni na kuwaacha wakiwa na uhaba wa vitanda, madogoro na vyumba vya kulala. Aidha uongozi wa Halmashauri unaendelea na jitihada za kukabili hali hiyo ambapo mpaka sasa ukarabati wa jengo la bweni unakaribia kukamilika.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI July 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SERENGETI. June 11, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MAMLAKA YA MJI MDOGO SERENGETI LAZINDULIWA LEO.

    July 10, 2025
  • TSC SERENGETI YAENDESHA MAFUNZO ELEKEZI KWA WALIMU WAPYA 89.

    July 09, 2025
  • DAS MASIKO AKABIDHIWA OFISI.

    July 04, 2025
  • DC ANGELINA AKABIDHIWA OFISI

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti